Naona dawa inaanza kazi.
Sasa tulia usiwe na kiherehere tena cha kurukia tu na ku'quote' yaliyoandikwa bila ya kuelewa ulichosoma.
Unakimbizwa na nani, au una mashindano ya kujaza uharo wako humu jamvini?
Usivyokuwa na akili, sasa unalalamika mimi nisisome uharo wako, na kumbe unaharishia kwenye niliyoandika mimi. Nikikueleza unamatatizo kichwani unalalama kama kichaa!