Niko Buzuruga Mwanza, nimepanga asbh kukikucha vzr ntaenda kuzungumza na huyo dada km asiponielewa nitamshtaki kwa mtendaji wa kata maana kila siku anamchapa mtoto km sio usiku basi alfajiri nadhani huwa anakojoa sijui lakini mtoto ni wake wa kuzaa.
Niko Buzuruga Mwanza, nimepanga asbh kukikucha vzr ntaenda kuzungumza na huyo dada km asiponielewa nitamshtaki kwa mtendaji wa kata maana kila siku anamchapa mtoto km sio usiku basi alfajiri nadhani huwa anakojoa sijui lakini mtoto ni wake wa kuzaa.
Nimejaribu kumwelewesha leo asbh kwa maelezo yake anadai amenielewa pamoja na kwamba analalamika kuwa mtt ana maudhi ya kukojoa duh wamama wa uswaz nooma ngoja nimsikilizie siku ya kesho km atarudia kumpiga tena nichukue hatua
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.