Old Member (Retired)
JF-Expert Member
- Sep 29, 2012
- 3,401
- 1,618
Rafiki yangu wa kike (marafiki tu wa kawaida) ambaye anafanyakazi moja ya halmashauri hapa jijini Dar ameanza tabia moja ambayo siielewi kidogo, yeye anasema ameanza hivyo baada ya kusalitiwa na aliyekuwa awe mume wake.
Amekuwa akiingiia kwenye social networks anatafuta wanaume anawasiliana nao na mara nyingi wanaume hao huishia kumtongoza na baadae huweka appointment za kugegedana.
Lakini wakifika mahali husika (hotel au nyumbani) yeye hufanya kila namna anayoweza ili mwanaume avue nguo kwanza na baada ya hapo anajifanya amepandisha majini.
Hivyo mwisho wa siku mwanaume anaishia kupiga makelele na kukimbia, anasema anafanya hivyo makusudi ili kudeal na wanaume wanavamia wanawake ovyo ovyo.
Dr. MCHUNGUZI HURU (PhD)
Amekuwa akiingiia kwenye social networks anatafuta wanaume anawasiliana nao na mara nyingi wanaume hao huishia kumtongoza na baadae huweka appointment za kugegedana.
Lakini wakifika mahali husika (hotel au nyumbani) yeye hufanya kila namna anayoweza ili mwanaume avue nguo kwanza na baada ya hapo anajifanya amepandisha majini.
Hivyo mwisho wa siku mwanaume anaishia kupiga makelele na kukimbia, anasema anafanya hivyo makusudi ili kudeal na wanaume wanavamia wanawake ovyo ovyo.
Dr. MCHUNGUZI HURU (PhD)