Sina shida na haki ya mtu ya kidemokrasia ya kugombea au kuchaguliwa au kuteuliwa, au hata kuajiriwa katika nafdasi yoyote hile. shida yangu ni haya mazingira ya kurithishana nafasi katika utumishi wa umma kwa mgongo wa chama na familia. katika uchanguzi mkuu 2010 suala hili lijitokeza majina ya vijana ya waliona nyadhifa serikalini.
tulishuhudia Bumbuli, lakini pia katika uchaguzi mdogo wa Arumeru, sasa Kalenga na Chalinze. CCM vijana msipo angalia hili mnakwenda na maji
tulishuhudia Bumbuli, lakini pia katika uchaguzi mdogo wa Arumeru, sasa Kalenga na Chalinze. CCM vijana msipo angalia hili mnakwenda na maji