Desire Dizaya
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 6,476
- 11,628
habari wakuu..
haka katabia kamekuwa kawaida yetu .hivi hata kwa majirani zetu wakenya au waganda ipo?
unakuta mtu hajui kitu..labda katoka kijijini au hajawahi tumia/kuona kitu..utaskia mshamba huyu.
this isn't cool guys..
kwa kiasi fulani naona mtu kuitwa hivi inafedhehesha! hasa kama ni mtu mzima mbele ya watoto.
unamuita mshamba mwenzio we ulizaliwa unajua?
wewe pia ulikua hujui ukaja kujua!!
mi nimewahi kuwa ndani ya sebule moja na kijana mmoja kutoka nanjilinj mtwara ...kachaguliwa UDSM..alikua anatuona tu tunavyochukua maji ila haanglii tunachukuaje..ye tunamletea tu..
siku ikafika hakuna mtu..nko na yeye tu.
kijana alienda na glasi anazunguka dispencer zaid ya mara tano.anapapasa juu mara nyuma mara kushoto kulia.
pheeew
nlimsaidia lakini.sikumuita mshamba
acheni hiyo tabia
haka katabia kamekuwa kawaida yetu .hivi hata kwa majirani zetu wakenya au waganda ipo?
unakuta mtu hajui kitu..labda katoka kijijini au hajawahi tumia/kuona kitu..utaskia mshamba huyu.
this isn't cool guys..
kwa kiasi fulani naona mtu kuitwa hivi inafedhehesha! hasa kama ni mtu mzima mbele ya watoto.
unamuita mshamba mwenzio we ulizaliwa unajua?
wewe pia ulikua hujui ukaja kujua!!
mi nimewahi kuwa ndani ya sebule moja na kijana mmoja kutoka nanjilinj mtwara ...kachaguliwa UDSM..alikua anatuona tu tunavyochukua maji ila haanglii tunachukuaje..ye tunamletea tu..
siku ikafika hakuna mtu..nko na yeye tu.
kijana alienda na glasi anazunguka dispencer zaid ya mara tano.anapapasa juu mara nyuma mara kushoto kulia.
pheeew
nlimsaidia lakini.sikumuita mshamba
acheni hiyo tabia