Tabia Nane za watu wapole

Huyo gana sifa za kuitwa mple.
 
Mkuu kuna watu wakimya ila kugombana ni kawaida kwao,ila labda useme mtu mpole ndiyo huweza kuepuka na kugombana.
 
Kama mimi
 
Mie hizo sifa nazijua vizuri kwa sababu naishi nazo.

Ujue kigezo cha kuwa mkimya ni kutokuwa muongeaji sana basi,hivyo ndiyo maana kuna watu wanafahamika kwa ukorofi lakini ni wakimya.

Sasa mtu mpole hawezi kuwa na sifa ya ukorofi hata kidogo,hata mie mtu mkimya simpendi.
 
Hapa umenigusa sasa.
 
Walikufanya nini.

nakumbuka mmoja wa ma ex wangu anaitwa Witness, sijui ndio wewe.
 
Wakorofi ndio washenzi
 
Hivyo vigezo vyote ninavyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…