Tabia mbaya za kiswahili ambazo mtu unapaswa kuziepuka

Kupiga mswaki nje ya nyumba na kuyema mikohozi.
Huo ni uswahili.
Kunywa safari beer na kuanza kuimba. Huo ni usukuma
 
3. Kuandaa bajeti kubwa ya harusi ilihali hauna hela unategemea michango huo ni uswahili wa mitaroni kabisa.

4. Kukataa kusaidia ndugu yako kafaulu shule huo ni uswahili wa kijinga zaidi.
Kuandika implausibilities ni uswahili pia
 
Mbona sioni hata jambo moja la uswahili hapo sana sana we ndio nakuona mswahili
 
Mwanaume mzima kwenda chooni na kopo la maji huku kinamama wanakuona. Typical Swansea
 
Kuna baadhi ya tabia ambazo unapaswa kuziepuka, mfano

Nguo haikitoshi, imekupungua unaendelea kua nayo huo ni ushwahili, wape madogo au watu ambao zinawatosha.

Mkebe umeisha labda nyama ya kopo, unaendelea kuutunza eti utaweka chumvi huo ni uswahili.

Kiatu kimekupungua unaendelea kukitunza huo pia ni uswahili.

Unanunua tv mpya, lile box lake unaweka chini ya kitanda huo ni uswahili, unatakiwa utupe.

Taja tabia nyingine za kiswahili ambazo watu wanatakiwa kuziacha
Tabia hizi zikifanywa na mtu znayeishi Brazil au India na Marekani, pia zitahusishwa na Kiswahili?
 
Kubeba kopo lenye Maji ukielekea chooni mchana kweupe!

Kuoga na mkeo chooni asubuhi wkt watu waenda kazini.

Kuvaa taulo na mswaki mdomoni Dukani kwa mangi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom