Wanajamvi hi kwenu wote! Hii ni tabia ambayo nimeiona kwenye ofisi fulani eti unakuta mwanadada ambaye hujaolewa lakini unakuwa mchangamfu kupindukia ofisini na kukumbatia watu ovyo hata waume za watu na pia unakuwa na tabia ya kupenda kusifia waume za watu kwa kuwaambia wake zao eti mume wako ni handsome utaibiwa. Hii imekaaje wadau ni sawa