mutant gene
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 876
- 322
habari zenu wakuu,
Kama tunavyofahamu kipindi hiki wadogo zenu wanaangaika sana na hizi post za tcu hasa wale ambao hawajabahatika mpaka sasa hivi.
kuna huyu binti(mdogo wa rafiki yangu) amefikia hapa home kwangu baada ya kutokuwa na ndugu wa karibu wa kufikia kwa hapa dar.
leo baada ya binti kutoka nikaamua kupiga chabo chumbani alipofikia. nimestuka sana maana nimekutana na chupa za soda nne zikiwa zimejaa mikojo. kuna maswali nimejiuliza sikupata majibu! huu wote unatokana na uwoga wa kutoka nje usiku, ugeni au kuna mambo mengine ? au ni jambo la kawaida wakuu?
wakuu, siwezi kumuuliza kabisa naogopa kama unavyojua wasichana wa siku hizi anaweza kuniongopea lolote kwa kaka yake(rafiki yangu). mana anaweza kunisingizia nimemtaka kimapenzi au nilitaka kumbaka kabisa( yalishawahi kunitokea baada ya kuongea ukweli).
wakuu hili ni jambo la kawaida kweli? tena kwa binti mrembo?
Kama tunavyofahamu kipindi hiki wadogo zenu wanaangaika sana na hizi post za tcu hasa wale ambao hawajabahatika mpaka sasa hivi.
kuna huyu binti(mdogo wa rafiki yangu) amefikia hapa home kwangu baada ya kutokuwa na ndugu wa karibu wa kufikia kwa hapa dar.
leo baada ya binti kutoka nikaamua kupiga chabo chumbani alipofikia. nimestuka sana maana nimekutana na chupa za soda nne zikiwa zimejaa mikojo. kuna maswali nimejiuliza sikupata majibu! huu wote unatokana na uwoga wa kutoka nje usiku, ugeni au kuna mambo mengine ? au ni jambo la kawaida wakuu?
wakuu, siwezi kumuuliza kabisa naogopa kama unavyojua wasichana wa siku hizi anaweza kuniongopea lolote kwa kaka yake(rafiki yangu). mana anaweza kunisingizia nimemtaka kimapenzi au nilitaka kumbaka kabisa( yalishawahi kunitokea baada ya kuongea ukweli).
wakuu hili ni jambo la kawaida kweli? tena kwa binti mrembo?