Kyenju
JF-Expert Member
- Jun 16, 2012
- 5,143
- 2,547
Mtu uko kwenye daladala unaandika sms au unachart na mtu, kwenye kiti ulichokaa kuna abiri mwenzako na nyuma ya kiti chako kuna abiria wengine. Wote utaona macho wameyatoa shingo wamezirefusha kila mmoja anataka asome unachokiandika, wanakunyima uhuru wa kuandika unachokiandika, abiria tuache tabia hii.