Hapo kwenye kuwa na watoto wengi binafsi napinga kabisa. Wingi wa watoto unakufanya akili iwe active muda wote mana utawazia ada, chakula na malazi. Lakini pia kama huna watoto wengi wa kuwazaa, kwa mila za kiafrika ujue ndugu watakuletea watoto wao uwalee.
Sent from my TECNO KA7 using
JamiiForums mobile app