Tabata imevamiwa na wadangaji

neno hilo la wadangaji kwetu linamaanisha wanga, haya kiswahili cha mjini hiko
 
Mbona vitu vya kawaida sana, Kama unatembea usiku kwy sehemu za starehe. Dar es salaam sehemu nyingi madanga wapo na sehemu ambazo kwny carwash, gereji, chooni na sehemu ambazo kuna Walinzi ndio sehemu za kufanyia mapenzi
 
Mbona vitu vya kawaida sana, Kama unatembea usiku kwy sehemu za starehe. Dar es salaam sehemu nyingi madanga wapo na sehemu ambazo kwny carwash, gereji, chooni na sehemu ambazo kuna Walinzi ndio sehemu za kufanyia mapenzi
mapenzi au ngono!?
 
Kweli mkuu mie naishi huku huku yaani kwenye mabaa wapo kibao tu afu wengine ndo wanananisha huko vichochoroni na ni karibu bar zote maarufu ukiachia mbali KB, 40/40, The Great, kwetu Pazuri, Micassa, BL na Viva kuna kwingine kama kwa mchina pale Bima, Silver pale Mawenzi, Highbury mawenzi pia, Ant stress kimanga, mizzy pub pale Chama, na kwingine malizieni wenyewe
 
Nikitongoza Dem akiniambia anakaa tabata au sinza au kinondoni baaasi hamu yote inaisha
 
Elekeza vizuri nami nikapitie hapo mara Moja mambo ya kwa mlinzi
 
Kweli kabisa!

Mimi nawajua wawili ambao supposedly ni high-end!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…