Tabata imevamiwa na wadangaji

Tabata imevamiwa na wadangaji

nalamba yote

Member
Joined
Nov 21, 2017
Posts
56
Reaction score
53
Wiki kama mbili hv zilopita nilikatisha Kwa miguu nikitokea maeneo ya KB nikakatisha vichochoro flan kama unakuja SWIS mida ya SAA NNE ucku,nilivyokaribia karibu na car wash flan nikakutana na wadada km wanne hv wadangaji,wakanitinga mbele yangu na kuanza kuniomba tukapigane Pumb*,huku kila mmoja akijaribu kunishawishi kivyake,nilipochoka ni pale mmoja aliposema eti 6000 yako tu unakula kitu saafi na kondom anayo na tissue pia anayo,ananiomba twende car wash chooni tukamakize mambo Kwa mlinzi,nikajiuliza Hawa watu wamevamia lini tena tabata jmn,namshukuru Mungu nilivishinda vishawishi vyao maana nilikuwa ninawahisha dawa ya tumbo Kwa mdogo wangu home,ungekuta sina haraka labda Kwa Mara ya kwanza nakula Malaya chooni.kuweni makini na maeneo hayo nyakati za usiku hasa wale mnaokatisha vichochoro Kwa miguu wakuu.
 
Wiki kama mbili hv zilopita nilikatisha Kwa miguu nikitokea maeneo ya KB nikakatisha vichochoro flan kama unakuja SWIS mida ya SAA NNE ucku,nilivyokaribia karibu na car wash flan nikakutana na wadada km wanne hv wadangaji,wakanitinga mbele yangu na kuanza kuniomba tukapigane Pumb*,huku kila mmoja akijaribu kunishawishi kivyake,nilipochoka ni pale mmoja aliposema eti 6000 yako tu unakula kitu saafi na kondom anayo na tissue pia anayo,ananiomba twende car wash chooni tukamakize mambo Kwa mlinzi,nikajiuliza Hawa watu wamevamia lini tena tabata jmn,namshukuru Mungu nilivishinda vishawishi vyao maana nilikuwa ninawahisha dawa ya tumbo Kwa mdogo wangu home,ungekuta sina haraka labda Kwa Mara ya kwanza nakula Malaya chooni.kuweni makini na maeneo hayo nyakati za usiku hasa wale mnaokatisha vichochoro Kwa miguu wakuu.
......samsin is not adding up.

Ulipiga bana. Kuja kustuka ndo ukawahisha dawa home.

Huyu alipiga.
 
Back
Top Bottom