Taasisi za Dini Zatajwa Kuhusika na Utoroshaji wa Makontena Bandarini

Mkuu huwezi kujua dini yangu kwa kutumia darubini,ninacho kikataa ni kutumia lugha za kuudhi

Kwenda zako we ngiri kipofu
Na mimi naona Usivyopenda kutumia Lugha ya maudhi.

Matakatonta busara zenu ziko makalioni.

Usilete kwaya hapa.
KANISA KATOLIKI limeiba mali ya Wanachi Wa nchi hii kwa miaka zaidi ya 50!
Sasa tunataka kuona huyu Rais mpya je! Atawahukumu WAKATOLIKI wenzake Kwa Haki Km Anavyo wafanyia WASIO WAKATOLIKI?

Kwa wewe usie na elimu nenda kakojoe ulale. Huna la ziada hapa zaidi ya mipasho na rusha roho.
 
Aisee kumbe dini inatumika kama mwamvuli
 
We katonta. Unafahamu Mabilion mangapi Bakhresa kalipia ktk nchi hii?

Hebu nambie Kanisa Katoliki Limechangia hata shs Moja ktk Kodi za nchi hii? Wezi wakubwa

Mkuu unaweza kulipa mabillioni lakini uliyoiba ni kubwa kuliko hayo mabillioni unayoyasema. Bakhresa alipe tu hayo makodi na njia zake za panya anazofanya hawezi kukwepa jukumu lake la kulipa kodi kama mfanyi biashara yoyote yule hata awe anauza samaki. Wafanyakazi wanalipa kodi zao kila mwezi na hakuna longolongo iwaje yeye asilipe kwani hii nchi ni mali yake?

Kanisa Katoliki halifanyi biashara, kama linafanya tuambie ni biashara gani hiyo?
 
Nilichojifunza kwenye UZI hu ni hiki; Wakristo walivyosikia kuna wito wa kufanya uhakiki wa kodi TRA fasta viongozi wao wame respond but ile barua ya TRA kwenda BAKWATA hadi leo sijawahi kusikia responce yoyote kuyoka kwa any senior official wa Bakwata. Nimejifunza pia bado watu tuna chuki za kidini; yaani kama kosa limefanywa na taasisi ya dini yako watu wa dini husika mnataka kutetea and verse versa. Sina hakika na vitabu vya kiislam vinavyo sema but kwenye Biblia kuna msisitizo mkubwa wa muumini kulipa KODI. Na wale ambao hua wanatufundisha kwamba neno la Mungu linasema tuzitii mamlaka za dunia, maandiko yale yanaendelea kwa kugusia ulipaji wa kodi.
Utafiti wangu binafsi labda pia ni hu; ukienda kwenye taasisi za Kikristo unaweza kuziona mali zinazo milikiwa na taasisi hizo but kwa taasisi za Kiislam hua ni ngumu sana kuyaona walau magari au mali za misikiti.
 
Kuna watu wanatumia mgongo wa Makanisa kutupiga kwenye kodi
 
Mkuu sijui unaongea nini serikali inasema taasisi za dini za Kikristo wamefanya udanganyifu kuna ukwepaji wa kodi wa kiasi cha bilioni 48 wewe unaleta story za Bible.
 
Mkuu serikali inapoteza mapato ya bilioni 48 halafu Watanzania wale wanaojitapa wanataka mabadiliko wapo kimya kulisema hili kisa linawahusu Kanisa.

Mbona huongelei kuhusu Bakheresa na Home Shopping Centre? By the way kama sikosei wameambiwa wapeleke evidence za malipo. Itakuwaje kama zililipwa halafu wajanja wakatia mfukoni. Hongereni awamu ya nne kwa kutajirisha wateule wenu
 
Mbona huongelei kuhusu Bakheresa na Home Shopping Centre? By the way kama sikosei wameambiwa wapeleke evidence za malipo. Itakuwaje kama zililipwa halafu wajanja wakatia mfukoni. Hongereni awamu ya nne kwa kutajirisha wateule wenu
Mada hapa ni Kanisa kufanya udanganyifu kukwepa kodi kwa hiyo kama Home Shopping wanakwepa kodi basi Kanisa nalo linapata excuse kufanya udanganyifu wa ukwepaji kodi?
 
Hongera xn mkuu na Mungu Akubariki
 
Mbona huongelei kuhusu Bakheresa na Home Shopping Centre? By the way kama sikosei wameambiwa wapeleke evidence za malipo. Itakuwaje kama zililipwa halafu wajanja wakatia mfukoni. Hongereni awamu ya nne kwa kutajirisha wateule wenu
Kijana umechambia @Tangawizi au?

Bakhresa na Home shopping centre tulisha wajadili sana humu.
Huu uzi wa KANISA lililokwiba mali ya Ummah.
Mapadri wanatembelea magari ya milion 200 kumbe majizi makubwa.

Yule Mzee wa upako ile helicopter ataeleza Kalipia shs ngapi serikalini.

Wizi wasio na aibu hawa.
 
Wengi walijificha kwenye migongo ya makanisa,ng'o na mengineyo. Tunataka tujuwe majina yao na walichokuwa wanaleta kwenye makontena.
Inatia kinyaa kwa viongozi wa dini kukwepa kulipa kodi, mtoto akifa kwa kukosa dawa kwenye zahanati damu imo mikononi mwao!
 
Mkuu hapa tunaangalia utaifa kwanza siyo ushabiki mandazi wa kidini, kama Bawakata wamefanya hayo wachukuliwe hatua za kisheria na CCT na Kanisa Katoliki wamefanya udanganyifu pia wachukuliwe hatua za kisheria.

Hapa Kazi Tu.
Kwa hili nakuunga mkono ustaadh @Ritz. Utajiri wa baadhi ya wachungaji na Mapadre unazua maswali. Hadi sass Hospitali ya Dodoma Christian Medical Centre DCMC inajulikana ni ya kanisa na kuna magari yameingizwa eti ni ya hospitali kumbe watu washayanywa. Ile hospitali inamilikiwa na Askofu Mstaafu wa kanisa moja kubwa hapa nchini la CCT.
 
Jambo usilolijua ni kama usiku wa giza,subirini na mtu mmoja mmoja mlioagiza magari mpewe nanyie barua za kudaiwa ndio mtajua hili jambo vizuri,hawa watu sio kwamba wao ndio wanaenda kulipa ushuru wa TRA na malipo ya bandari wakala wa forodha ndio anahusika anakuletea invoice ya unavyotakiwa kulipa unampa pesa yeye anaenda kulipa TRA na bandari kwahiyo wahusika wakubwa ni wafanyakazi wasio waaminifu wa wakala wa forodha.
 
We nae acha ubwege na nasuruali fupi ka kipedo, dini zote zinachakachua ya mwarabu na ya huyo myahudi/mzungu wazishughilikie waovu kwenye hizi tasisi za kidini wajulilane na wawajibishwe
 
We nae acha ubwege na nasuruali fupi ka kipedo, dini zote zinachakachua ya mwarabu na ya huyo myahudi/mzungu wazishughilikie waovu kwenye hizi tasisi za kidini wajulilane na wawajibishwe
Imani ya kizungu inajulikana manake mpk picha za wazungu mmezisambaza mpk mavyumbani mwenu.
Hio ya Kiarabu sajawahi kuiona bibie.

Halafu mtazame Papa uone km hana kipedo.
 
Imani ya kizungu inajulikana manake mpk picha za wazungu mmezisambaza mpk mavyumbani mwenu.
Hio ya Kiarabu sajawahi kuiona bibie.

Halafu mtazame Papa uone km hana kipedo.
Komando kipedo mi sio mshaki wa dini zenu- situmii imani kendeaha maisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…