Ndugu, hata mawaziri wakipitishwa na Bunge, bado wabunge wengi ni CCM, usitegemee la maana hapo. Wameifikisha nchi yetu hapa, afu sasa wanapitia majukwaani wakitwambia nchi inahitaji maombi. Wengine wanadhubutu kutwambia tatizo letu hatuna harambee za kutosha hivyo tunahitaji harambee kubwa, yaani kila kijana awe na boda boda, basi. Ndo walipotufikisha hapa.
CCM hawawezi kukupa katiba ya haki kwa sababu chama chake si cha haki. Kinafaidika na hiyo misingi mibovu. Hii misingi mibovu unayoona ndo neema ya CCM. Wameoza kuanzia kwa Rais mpaka chini. Rais ndo chanza cha yote haya. Hayupo serious na lolote, itakuwaje watendaji kazi wake?
Yeye anajua kupiga picha tu. Juzi alikuwa New York, watanzania wakadanganywa kuwa alikuwa kwenye matibabu, muulize Miraji wa huko US. Yeye ndo anajua anafanyaga nini na JK wakiwa huko.
Kwa sababu tumechoka na ujinga huu, ntaweka picha ambazo alipigwa bila kujua na huu inawezekana ndo mwisho wake...nazifatilia.