Meshackmlingo
Member
- Apr 13, 2016
- 41
- 13
Wakwanza wewe.Utafiti uliofanywa na wasomi wa chuo kikuu cha NOTTINGHAM nchini uingereza umesema kwamba WATANZANIA ndio watu WANAFIKI wakubwa DUNIANI
Utafiti uliofanywa na wasomi wa chuo kikuu cha NOTTINGHAM nchini uingereza umesema kwamba WATANZANIA ndio watu WANAFIKI wakubwa DUNIANI
Tupe details za utafiti Huo ulivyofanyika. Naona kama tumeonewa hivu
CHADEMA ndiyo wanafiki namba 1 duniani.Hasa wanaccm