S Semkwacha Member Dec 1, 2018 96 146 Jan 13, 2019 #2 Ni kama mnatuchanganya! Makao Makuu ya nchi yapo Dodoma hapo Dsm mnafanya nini? Sisi tulio mikoani tuna maoni yetu itakuaje? Au kila mtu alete hayo maoni huko Dsm? Tafuteni utaratibu mwingine wa kupokea maoni, Tanzania ni kubwa sana sio kila kitu Dsm Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kama mnatuchanganya! Makao Makuu ya nchi yapo Dodoma hapo Dsm mnafanya nini? Sisi tulio mikoani tuna maoni yetu itakuaje? Au kila mtu alete hayo maoni huko Dsm? Tafuteni utaratibu mwingine wa kupokea maoni, Tanzania ni kubwa sana sio kila kitu Dsm Sent using Jamii Forums mobile app
J johnthebaptist JF-Expert Member May 27, 2014 83,936 141,907 Jan 13, 2019 #3 diana chumbikino said: View attachment 993309 View attachment 993314 Click to expand... Huu mswada unaweza kutendewa kama katiba mpya !
diana chumbikino said: View attachment 993309 View attachment 993314 Click to expand... Huu mswada unaweza kutendewa kama katiba mpya !