mzee wa mkeka
Senior Member
- Mar 12, 2017
- 142
- 236
Habari wadau wa jukwaa hili adhimu;
TANESCO yaanza operesheni ya kuwakatia umeme wadaiwa sugu zikiwemo taasisi za serikali.
Shirika la umeme nchini TANESCO limeanza operesheni ya kuwakatia umeme wadaiwa sugu zikiwemo taasisi za serikali ikiwa ni utekelezaji wa agizo la Rais Magufuli alilotoa hivi karibuni.
Kaimu meneja uhusiano wa TANESCO Bi Leila Muhaji amesema zoezi hilo limeanza nchi nzima na kuongeza kuwa shirika hilo lilitoa muda wa siku kumi na nne wadaiwa wawe wamelipa madeni yao lakini hadi leo wapo ambao bado wako kimya.
Baadhi ya wananchi wamekuwa wamekuwa na maoni tofauti juu ya suala hilo huku wengine wakiishauri tANESCO kufungia taasisi za serikali luku ili waweze kulipa kadiri wanavyotumia.
Licha ya uwepo wa madeni hayo ambayo TANESCO inadai yanasababisha wajiendeshe kwa hasara, taarifa ya mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali iliyokabidhiwa kwa rais inaeleza kuwa shirika hilo linajiendesha kwa hasara ambapo linanunua umeme shilingi 544 kwa unit lakini inauza kwa shilingi 279 kwa unit.
Hii ni thread maalum kwa ajili ya kukusanya taarifa za utekelezaji wa agizo la rais Magufuli kwa TANESCO la kukata umeme kwa wadaiwa wote sugu nchi nzima.
Hivyo yeyote mwenye taarifa ya KA_TA kwenye sehemu alipo aiweke hapa.
Asante kwa ushiriki wako.
UPDATES:
Taasisi zilizokatiwa umeme mpaka sasa:
-Mamlaka ya maji safi kigoma (KUWASA)
-Polisi kurasini - Dar
-Mamlaka ya maji kahama - shinyanga (KASHIWASA)
-Gereza la bukoba mjini - umeme umerudishwa
-Kambi ya polisi buyekera - bukoba mjini
-Kambi ya magereza - bukoba mjini
-Mamlaka ya maji safi bukoba
-Mamlaka ya maji safi Tabora
-Mamlaka ya maji safi Musoma
-Mamlaka ya maji safi na maji taka shinyanga (SHUWASA)
-Mamlaka ya maji safi bukoba (BUWASA)
TANESCO yaanza operesheni ya kuwakatia umeme wadaiwa sugu zikiwemo taasisi za serikali.
Shirika la umeme nchini TANESCO limeanza operesheni ya kuwakatia umeme wadaiwa sugu zikiwemo taasisi za serikali ikiwa ni utekelezaji wa agizo la Rais Magufuli alilotoa hivi karibuni.
Kaimu meneja uhusiano wa TANESCO Bi Leila Muhaji amesema zoezi hilo limeanza nchi nzima na kuongeza kuwa shirika hilo lilitoa muda wa siku kumi na nne wadaiwa wawe wamelipa madeni yao lakini hadi leo wapo ambao bado wako kimya.
Baadhi ya wananchi wamekuwa wamekuwa na maoni tofauti juu ya suala hilo huku wengine wakiishauri tANESCO kufungia taasisi za serikali luku ili waweze kulipa kadiri wanavyotumia.
Licha ya uwepo wa madeni hayo ambayo TANESCO inadai yanasababisha wajiendeshe kwa hasara, taarifa ya mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali iliyokabidhiwa kwa rais inaeleza kuwa shirika hilo linajiendesha kwa hasara ambapo linanunua umeme shilingi 544 kwa unit lakini inauza kwa shilingi 279 kwa unit.
Hii ni thread maalum kwa ajili ya kukusanya taarifa za utekelezaji wa agizo la rais Magufuli kwa TANESCO la kukata umeme kwa wadaiwa wote sugu nchi nzima.
Hivyo yeyote mwenye taarifa ya KA_TA kwenye sehemu alipo aiweke hapa.
Asante kwa ushiriki wako.
UPDATES:
Taasisi zilizokatiwa umeme mpaka sasa:
-Mamlaka ya maji safi kigoma (KUWASA)
-Polisi kurasini - Dar
-Mamlaka ya maji kahama - shinyanga (KASHIWASA)
-Gereza la bukoba mjini - umeme umerudishwa
-Kambi ya polisi buyekera - bukoba mjini
-Kambi ya magereza - bukoba mjini
-Mamlaka ya maji safi bukoba
-Mamlaka ya maji safi Tabora
-Mamlaka ya maji safi Musoma
-Mamlaka ya maji safi na maji taka shinyanga (SHUWASA)
-Mamlaka ya maji safi bukoba (BUWASA)