Nmefanikiwa kusikiliza taarifa ya serikari juu ya tukio la mlipuko wa bomu kwenye mkutano wa chadema iliyosomwa na Lukuvi. Bado inanipa shida juu ya taaluma, ujuzi na umakini pia weledi wa maofisa wa serikari ku-deal na ku-handle masuala na changamoto kubwa za kitaifa. In short, taarifa imeelekeza lawama kwa cdm badala ya kukemea uzembe wa wanausalama.