Innalillahi, wainna ilayhi raajiun (Hakika sisi ni wa M/Mungu, na kwa hakika kwake sisi sote tutarejea). Mungu amsamehe makosa yake na amweke mahala pema, Aamin.
Innalillahi, wainna ilayhi raajiun (Hakika sisi ni wa M/Mungu, na kwa hakika kwake sisi sote tutarejea). Mungu amsamehe makosa yake na amweke mahala pema, Aamin.
Asanteni saana wana JF kwa salam zenu za Rambirambi kwa kuondokewa na Baba yangu..
Hakika nafarijika kuwa sehemu ya familia ya JF..
Mungu awabariki sana..
Amen..