Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 10,526
- 13,015
Ulitaka watoe taarifa za kushusha bendera za chadema?, Ripoti ya CAG? au ripoti ya IMF?Tangu 2015 sijawahi kuangalia taarifa ya habar tbc. leo nilikuwa nyumbani ikabidi niangalie.ni baada ya king'amuzi kuisha mchana.ni upuuzi mtupu.
imejaa siasa . mara mwenge.mara katibu wa ccm mara ujinga .
Habari za kimataifa zimekopiwa kama zilivyo toka Aljazeera hata maandishi ya aljazeera yanaonekana.yan na msomaji anasoma kama anaimba hakuna hata ku ongeza kidogo ili wasiofuatilia vituo vya nje.
Meneja wa tv jitafakari, weledi unaonesha ni wa chini sana hata kama mnatumikia siasa lakini mmepitiliza
Ulipata wapi ujasiri wa kuangalia TBC ? una roho ngumu sana !Tangu 2015 sijawahi kuangalia taarifa ya habar tbc. leo nilikuwa nyumbani ikabidi niangalie.ni baada ya king'amuzi kuisha mchana.ni upuuzi mtupu.
imejaa siasa . mara mwenge.mara katibu wa ccm mara ujinga .
Habari za kimataifa zimekopiwa kama zilivyo toka Aljazeera hata maandishi ya aljazeera yanaonekana.yan na msomaji anasoma kama anaimba hakuna hata ku ongeza kidogo ili wasiofuatilia vituo vya nje.
Meneja wa tv jitafakari, weledi unaonesha ni wa chini sana hata kama mnatumikia siasa lakini mmepitiliza
Shida baadhi yao ni incompetent. Hawajiandai. Yaani wanaboa mnoTangu 2015 sijawahi kuangalia taarifa ya habar tbc. leo nilikuwa nyumbani ikabidi niangalie.ni baada ya king'amuzi kuisha mchana.ni upuuzi mtupu.
imejaa siasa . mara mwenge.mara katibu wa ccm mara ujinga .
Habari za kimataifa zimekopiwa kama zilivyo toka Aljazeera hata maandishi ya aljazeera yanaonekana.yan na msomaji anasoma kama anaimba hakuna hata ku ongeza kidogo ili wasiofuatilia vituo vya nje.
Meneja wa tv jitafakari, weledi unaonesha ni wa chini sana hata kama mnatumikia siasa lakini mmepitiliza
Hiyo TV ya chama hata habari za ndani za wananchi wasio wana siasa hakunaTangu 2015 sijawahi kuangalia taarifa ya habar tbc. leo nilikuwa nyumbani ikabidi niangalie.ni baada ya king'amuzi kuisha mchana.ni upuuzi mtupu.
imejaa siasa . mara mwenge.mara katibu wa ccm mara ujinga .
Habari za kimataifa zimekopiwa kama zilivyo toka Aljazeera hata maandishi ya aljazeera yanaonekana.yan na msomaji anasoma kama anaimba hakuna hata ku ongeza kidogo ili wasiofuatilia vituo vya nje.
Meneja wa tv jitafakari, weledi unaonesha ni wa chini sana hata kama mnatumikia siasa lakini mmepitiliza
Inabidi mtu kujitoa mhanga na kuilipua kwa bomu ili kusevu kodi zetu, huo uwezo tu ndio sina!Kodi zetu zinapotea bure kuihudumia hiyo TV
Sehemu nyingine ni hi
TTCL
Mi nashauri tu bora hiyo tbc nayo wazime kupunguza matumizi kama walivyozima bunge live inasikitisha sana lichanel la hovyo kama hili lipo hewani alafu bungelive noTangu 2015 sijawahi kuangalia taarifa ya habar tbc. leo nilikuwa nyumbani ikabidi niangalie.ni baada ya king'amuzi kuisha mchana.ni upuuzi mtupu.
imejaa siasa . mara mwenge.mara katibu wa ccm mara ujinga .
Habari za kimataifa zimekopiwa kama zilivyo toka Aljazeera hata maandishi ya aljazeera yanaonekana.yan na msomaji anasoma kama anaimba hakuna hata ku ongeza kidogo ili wasiofuatilia vituo vya nje.
Meneja wa tv jitafakari, weledi unaonesha ni wa chini sana hata kama mnatumikia siasa lakini mmepitiliza