Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 10,441
- 12,862
Tangu 2015 sijawahi kuangalia taarifa ya habar tbc. leo nilikuwa nyumbani ikabidi niangalie.ni baada ya king'amuzi kuisha mchana.ni upuuzi mtupu.
imejaa siasa . mara mwenge.mara katibu wa ccm mara ujinga .
Habari za kimataifa zimekopiwa kama zilivyo toka Aljazeera hata maandishi ya aljazeera yanaonekana.yan na msomaji anasoma kama anaimba hakuna hata ku ongeza kidogo ili wasiofuatilia vituo vya nje.
Meneja wa tv jitafakari, weledi unaonesha ni wa chini sana hata kama mnatumikia siasa lakini mmepitiliza
imejaa siasa . mara mwenge.mara katibu wa ccm mara ujinga .
Habari za kimataifa zimekopiwa kama zilivyo toka Aljazeera hata maandishi ya aljazeera yanaonekana.yan na msomaji anasoma kama anaimba hakuna hata ku ongeza kidogo ili wasiofuatilia vituo vya nje.
Meneja wa tv jitafakari, weledi unaonesha ni wa chini sana hata kama mnatumikia siasa lakini mmepitiliza