Taarifa ya habar TBC hovyo kabisa

Kinoamiguu

JF-Expert Member
Nov 29, 2018
10,441
12,862
Tangu 2015 sijawahi kuangalia taarifa ya habar tbc. leo nilikuwa nyumbani ikabidi niangalie.ni baada ya king'amuzi kuisha mchana.ni upuuzi mtupu.
imejaa siasa . mara mwenge.mara katibu wa ccm mara ujinga .
Habari za kimataifa zimekopiwa kama zilivyo toka Aljazeera hata maandishi ya aljazeera yanaonekana.yan na msomaji anasoma kama anaimba hakuna hata ku ongeza kidogo ili wasiofuatilia vituo vya nje.
Meneja wa tv jitafakari, weledi unaonesha ni wa chini sana hata kama mnatumikia siasa lakini mmepitiliza
 
Tangu 2015 sijawahi kuangalia taarifa ya habar tbc. leo nilikuwa nyumbani ikabidi niangalie.ni baada ya king'amuzi kuisha mchana.ni upuuzi mtupu.
imejaa siasa . mara mwenge.mara katibu wa ccm mara ujinga .
Habari za kimataifa zimekopiwa kama zilivyo toka Aljazeera hata maandishi ya aljazeera yanaonekana.yan na msomaji anasoma kama anaimba hakuna hata ku ongeza kidogo ili wasiofuatilia vituo vya nje.
Meneja wa tv jitafakari, weledi unaonesha ni wa chini sana hata kama mnatumikia siasa lakini mmepitiliza
Ulitaka watoe taarifa za kushusha bendera za chadema?, Ripoti ya CAG? au ripoti ya IMF?
 
Tangu 2015 sijawahi kuangalia taarifa ya habar tbc. leo nilikuwa nyumbani ikabidi niangalie.ni baada ya king'amuzi kuisha mchana.ni upuuzi mtupu.
imejaa siasa . mara mwenge.mara katibu wa ccm mara ujinga .
Habari za kimataifa zimekopiwa kama zilivyo toka Aljazeera hata maandishi ya aljazeera yanaonekana.yan na msomaji anasoma kama anaimba hakuna hata ku ongeza kidogo ili wasiofuatilia vituo vya nje.
Meneja wa tv jitafakari, weledi unaonesha ni wa chini sana hata kama mnatumikia siasa lakini mmepitiliza
Ulipata wapi ujasiri wa kuangalia TBC ? una roho ngumu sana !
 
Tangu 2015 sijawahi kuangalia taarifa ya habar tbc. leo nilikuwa nyumbani ikabidi niangalie.ni baada ya king'amuzi kuisha mchana.ni upuuzi mtupu.
imejaa siasa . mara mwenge.mara katibu wa ccm mara ujinga .
Habari za kimataifa zimekopiwa kama zilivyo toka Aljazeera hata maandishi ya aljazeera yanaonekana.yan na msomaji anasoma kama anaimba hakuna hata ku ongeza kidogo ili wasiofuatilia vituo vya nje.
Meneja wa tv jitafakari, weledi unaonesha ni wa chini sana hata kama mnatumikia siasa lakini mmepitiliza
Shida baadhi yao ni incompetent. Hawajiandai. Yaani wanaboa mno
 
Tangu 2015 sijawahi kuangalia taarifa ya habar tbc. leo nilikuwa nyumbani ikabidi niangalie.ni baada ya king'amuzi kuisha mchana.ni upuuzi mtupu.
imejaa siasa . mara mwenge.mara katibu wa ccm mara ujinga .
Habari za kimataifa zimekopiwa kama zilivyo toka Aljazeera hata maandishi ya aljazeera yanaonekana.yan na msomaji anasoma kama anaimba hakuna hata ku ongeza kidogo ili wasiofuatilia vituo vya nje.
Meneja wa tv jitafakari, weledi unaonesha ni wa chini sana hata kama mnatumikia siasa lakini mmepitiliza
Hiyo TV ya chama hata habari za ndani za wananchi wasio wana siasa hakuna
 
Mkuu mleta mada hayo yanayokusibu ya kuishiwa king'amuzi na mimi yananisibu.

TBC kwa kweli inaboa sana, siku nyingine wanaonyesha harusi za watu, watu wanatongozana mpaka wanafikia uamuzi wa kufunga ndoa hawatuhusishi lakini eti siku ya sherehe yao ndio tunahusishwa!!.

TBC inaboa, wanarudi vipindi vile vile vya mahojiano, yaani taabu kwa kwenda mbele.
 
Pole sana, ni kama hivi:
IMG_20181216_065603.jpeg
 
Tangu 2015 sijawahi kuangalia taarifa ya habar tbc. leo nilikuwa nyumbani ikabidi niangalie.ni baada ya king'amuzi kuisha mchana.ni upuuzi mtupu.
imejaa siasa . mara mwenge.mara katibu wa ccm mara ujinga .
Habari za kimataifa zimekopiwa kama zilivyo toka Aljazeera hata maandishi ya aljazeera yanaonekana.yan na msomaji anasoma kama anaimba hakuna hata ku ongeza kidogo ili wasiofuatilia vituo vya nje.
Meneja wa tv jitafakari, weledi unaonesha ni wa chini sana hata kama mnatumikia siasa lakini mmepitiliza
Mi nashauri tu bora hiyo tbc nayo wazime kupunguza matumizi kama walivyozima bunge live inasikitisha sana lichanel la hovyo kama hili lipo hewani alafu bungelive no
 

Similar Discussions

15 Reactions
Reply
Back
Top Bottom