TUMBIRI
JF-Expert Member
- May 7, 2011
- 1,933
- 1,199
HAKI SAWA KWA WOTE
…………………………………….
Salim A Bimani
Mkurugenzi wa Haki za Binaadamu, Habari na
Uenezi na Mahusiano na Umma
Huyu Mkurugenzi kabebeshwa majukumu mengi na kibaya zaidi majukumu yenyewe hayaingiliani. Haki za Binadamu na Uenezi?! Lipumba hapa mmechemsha.
TUMBIRI (PhD, Hull University - UK),
tumbiri@jamiiforums.com