Tony antony
JF-Expert Member
- Nov 17, 2013
- 4,988
- 3,268
Mkuu Mtoa Mada Ni Wewe Tu Na Upungufu Wako Wa Taarifa.Ni Hivi Hilo Daftari Vyama Vyote Vimepewa Uhuru Wa Kuliangalia Na Kujiridhisha,zaidi Ya Hapo Wameshapewa Taarifa Vyama Vyote Kupeleka Ma IT Wao Ili Kukagua Mfumo Watakao Tumia Nec....Halafu Mtoa Mada Unaweza Ukanipa Sababu Ya Wewe Kumuulizia Mwamunyange?Last Year Inamaana Ulimwona Mwaka Mzima??