Taarifa nyeti: Mbinu za wizi wa kura hizi hapa - PART 2

Mkuu Mtoa Mada Ni Wewe Tu Na Upungufu Wako Wa Taarifa.Ni Hivi Hilo Daftari Vyama Vyote Vimepewa Uhuru Wa Kuliangalia Na Kujiridhisha,zaidi Ya Hapo Wameshapewa Taarifa Vyama Vyote Kupeleka Ma IT Wao Ili Kukagua Mfumo Watakao Tumia Nec....Halafu Mtoa Mada Unaweza Ukanipa Sababu Ya Wewe Kumuulizia Mwamunyange?Last Year Inamaana Ulimwona Mwaka Mzima??
 
Hivi ata unajua hapa kinaongelewa nini au ni uzezeta unakuendesha utapike vile unatapika hapa? vitu kama hivyo lazima viwekwe wazi ili kusizue maswali yatakayosababisha uvunjifu wa amani NA NI LAZIMA VIONGOZI WETU WAVIJUE.
VIVA UKAWA!!!!


MACCM wamezoea uwizi wa kura na wanajitoa ufahamu
 
Rutunga M

Sawa mkuu pia ni vizuri wapewa orodha ya idadi ya vituo vya kupigia kura nchi nzima kwa mgawanyiko wa mikoa,wilaya, majimbo na kata.Pia wakati wa majumusho kuwe na kuangalia kituo kimoja kimoja ili kuepuka kwenye majimbo kusiwe na vituo vinavyojirudia kwa maslahi ya upande fulani bali kuwe na uchaguzi wa huru na haki.

 
Last edited by a moderator:
Mkuu Mtoa Mada Ni Wewe Tu Na Upungufu Wako Wa Taarifa.Ni Hivi Hilo Daftari Vyama Vyote Vimepewa Uhuru Wa Kuliangalia Na Kujiridhisha,zaidi Ya Hapo Wameshapewa Taarifa Vyama Vyote Kupeleka Ma IT Wao Ili Kukagua Mfumo Watakao Tumia Nec....Halafu Mtoa Mada Unaweza Ukanipa Sababu Ya Wewe Kumuulizia Mwamunyange?Last Year Inamaana Ulimwona Mwaka Mzima??

Acha ushamba unakuwa kama mgeni nchi hii....kusema na kutenda ni vitu tofauti. Haya hebu sema Kigoma imeshakuwa Dubai? Meli kubwa kuliko iliyozama ziwa victoria iko wapi? Bomba limekamilika una umeme wa uhakika?

Kama unaona mambo yanakuendea vizuri kaa kimya acha ambao tunaona tunapigwa tudai haki yetu.
 
Kama Mwamnyange yupo poa c ajitokeze tu jamani! aseme mimi nipo poa kikamanda zaidi. Basi yaishe!
 
Mkuu, kuna watu wajinga sana sijapata kuona. UKAWA ni mkusanyiko wa wajinga na wapumbavu
Acha kupanic wewe. Ukawa tupo watu wasomi na tena sio vyuo vya kata.

Vyuo vya kimataifa ukitaja 100bora dunian.

Mwaka huu ccm hamtoki tunataka nchi iwe ya mfano Africa.na sio East afrika.
 
Acha ushamba unakuwa kama mgeni nchi hii....kusema na kutenda ni vitu tofauti. Haya hebu sema Kigoma imeshakuwa Dubai? Meli kubwa kuliko iliyozama ziwa victoria iko wapi? Bomba limekamilika una umeme wa uhakika?

Kama unaona mambo yanakuendea vizuri kaa kimya acha ambao tunaona tunapigwa tudai haki yetu.

Mkuu Sasa Hilo Swala La Utekelezaji Wa Kwenda Kuangalia Hilo Daftari Na Kupeleka MaIT Kuangalia Mfumo Mzima Wa Nec Ni Swala La Viongozi Wenu,na Kama Wao Wamepewa Nafasi Wakashindwa Kuitumia Kosa La Nani??Kumbuka Nec Sio Ccm Wala Sio Serikali...
 
Watu mnakuja juu tuu pasipo sababu. Mbona nchi hii itakuwa ya ajabu sana kama mkuu wa Majeshi atakuwa hajulikani alipo? Mtanzania wa kawaida kauliza tuu, kwamba mkuu wetu mpendwa wa majeshi kesha rudi ziara yake huko Italy?
Jibu ni ndio au hapana, na kama ni hapana atarudi lini?
 
Nilivutwa na heading yako kumbe unaandika upumbavu mtupu, daftari la wapiga kura liko wazi kwa yeyote ukiwemo wewe na hofu ya kuibiwa unayo wewe na wenzako mnaokimbia vivuli vyenu.

Mkuu wa majeshi kama unataka kujua habari zake nenda nyumbani kwake au nenda Makao Mkuu ya jeshi waulize nina shida na General Davis Mwamunyange na siyo Mkuu wa Majeshi, kwani wewe unasumbuliwa na jina.

Mkuu wa majeshi yupo na kazi zinaendelea au umepungukiwa nini ukaambiwa mpaka awepo afande Genaral Mwamunyange ndipo uhudumiwe? Tumia akili kufikiri na siyo kukurupuka na kuunganisha mambo kwa kadri ya ujinga wenu.

Mbona siku zote hujafuatilia ziara za CDF ila mwezi huu tu imekuwa mtu asifanye shughuli zake kwa sababu ya wewe kutoelewa mambo basi kila mtu awe anaripoti kwako. Yaani unataka CDF kweli aje JF kujieleza hivi unajua mamlaka ya CDF wewe?

Mambo mengine mkikosa kazi muwe mnakaa kimya siyo kupayukapayuka. Huyo siyo mwanasiasa haguswi guswi ovyo, chunga sana ulimi wako chezea wanasiasa na siyo Mkuu wa majeshi..
 
watu mnakuja juu tuu pasipo sababu. Mbona nchi hii itakuwa ya ajabu sana kama mkuu wa majeshi atakuwa hajulikani alipo? Mtanzania wa kawaida kauliza tuu, kwamba mkuu wetu mpendwa wa majeshi kesha rudi ziara yake huko italy?
Jibu ni ndio au hapana, na kama ni hapana atarudi lini?

ukijua ili umteke au?
 
"waliozoea vya kunyonga vya kuchinja hawaviwezi" - Tundu Lissu
Ukweli ni kwamba zaidi ya 95% ya mbinu wanazotumia ccm kushinda chaguzi zimeshajulikana na sasa hivi wanakoelekea (ni kama wameshaamua) ni 'liwalo na liwe'.
Ushauri wangu kwa ccm ni kuwa watumie hizi siku 14 zilizobaki kusoma na kutafiti vyanzo vya machafuko katika nchi zingine duniani na itawasaidia kuelewa kuwa mchezo wowote kwenye matakwa halisi ya Watanzania wa leo ni kuleta maangamizi ya taifa hili. Na uenda matokeo yasionekane hiyo tarehe 25 lakini watakaojaaliwa kuwepo watasimulia.
 
LIWEKWE WAZI kwa nani tarifa za mtu binafsi siyo za wanasiasa wakome kutaka tarifa zetu mie zangu sitaki wapewe wanasiasa hata kidogo myika akapewe zake na mkewe siyo zetu.

mbona hujielewi ww nani kakwambia anataka taarifa zako tupeleke wap tunata kuthibitisha idadi ya wapiga kura kabla uchaguz kuanza.
acha kupanic ww
 
Kuna watu sijui wanawaza kwa kufikiri viungo gani vya mwili. Daftari lipo wazi na kila chama cha siasa kina haki ya kulipata. Sasa eti waache mikutano ya kampeni kuhangaikia daftari huu si ufedhuli kabisa?
Usichukie,ni namna tu ya kuziba kila aina ya ujanja mnaotaka kufanya.

We mhamiaji haramu bado uhamiaji hawajakudaka tu?
Anasubiri na anahakikisha uchaguzi upite kwa amani ndipo aondoke.

Mkuu Mtoa Mada Ni Wewe Tu Na Upungufu Wako Wa Taarifa.Ni Hivi Hilo Daftari Vyama Vyote Vimepewa Uhuru Wa Kuliangalia Na Kujiridhisha,zaidi Ya Hapo Wameshapewa Taarifa Vyama Vyote Kupeleka Ma IT Wao Ili Kukagua Mfumo Watakao Tumia Nec....Halafu Mtoa Mada Unaweza Ukanipa Sababu Ya Wewe Kumuulizia Mwamunyange?Last Year Inamaana Ulimwona Mwaka Mzima??
mbona povu beseni????wewe ni mke wake na devis???.

Mwaka jana hakuzushiwa kifo,sawa?

Watu mnakuja juu tuu pasipo sababu. Mbona nchi hii itakuwa ya ajabu sana kama mkuu wa Majeshi atakuwa hajulikani alipo? Mtanzania wa kawaida kauliza tuu, kwamba mkuu wetu mpendwa wa majeshi kesha rudi ziara yake huko Italy?
Jibu ni ndio au hapana, na kama ni hapana atarudi lini?
Wana hasira vibaya.

Jibu la atarudi lini litakuwa gumu. nina hisi hata sipe hajui bosi wake alipo.kama kujificha coz ilimuingia vizuri sana kamanda.

Nilivutwa na heading yako kumbe unaandika upumbavu mtupu, daftari lawapiga kura liko wazi kwa yeyote ukiwemo wewe na hofu ya kuibiwa unayo wewe na wajinga wezako mnaokimbia vivuli vyenu.

Mkuu wa majeshi kama unataka kujua habari zake nenda nyumbani kwake au nenda Makao Mkuu ya jeshi waulize nina shida na General Davis Mwamunyange na siyo Mkuu wa Majeshi kwani wewe unasumbuliwa na jina Mkuu wa majeshi yupo na kazi zinaendelea au umepungukiwa nini ukaambiwa mpaka awepo afande Genaral Mwamunyange ndipo uhudumiwe? Tumia akili kufikiri na siyo kukurupuka na kuunganisha mambo kwa kadri ya ujinga wenu. Mbona siku zote hujafuatilia ziara za CDF ila mwezi huu tu imekuwa mtu asifanye shughuli zake kwa sababu ya wewe mjinga mmoja kutoelewa mambo basi kila mtu awe anaripoti kwako. Yaani unataka CDF kweli aje JF kujieleza hivi unajua mamlaka ya CDF wewe? Mambo mengine mkikosa kazi muwe mnakaa kimya siyo kupayukapayuka huyo siyo mwanasiasa haguswiguswi ovyo chunga sana ulimi wako chezea wanasiasa na siyo Mkuu wa majeshi mjinga wewe.
Punguza hasira.afu mbona mikwara mingi???.

Watu wanataka washerehekee nae siku ya kumwapisha EL,alienda ziarani mbona harudi siku ya 20 leo zimebaki siku 12 tu.
 
Usichukie,ni namna tu ya kuziba kila aina ya ujanja mnaotaka kufanya.

Anasubiri na anahakikisha uchaguzi upite kwa amani ndipo aondoke.

mbona povu beseni????wewe ni mke wake na devis???.

Mwaka jana hakuzushiwa kifo,sawa?


Wana hasira vibaya.

Jibu la atarudi lini litakuwa gumu. nina hisi hata sipe hajui bosi wake alipo.kama kujificha coz ilimuingia vizuri sana kamanda.


Punguza hasira.afu mbona mikwara mingi???.

Watu wanataka washerehekee nae siku ya kumwapisha EL,alienda ziarani mbona harudi siku ya 20 leo zimebaki siku 12 tu.


Nimekwambia kwakuwa una shida naye au watakakujua aliko nenda ofisini kwake na siyo humu kwenye mitandao hakai mtandaoni ukifika ofisini kwanza ukarimu wa wale watu utapata chai kisha watakupeleka kwake familia yake itakujibu maswali yako yote. Wala sina hasira na wewe nakupa maelekezo ili malengo yako ya kutaka kujua aliko CDF yafanikiwe je, wajua pia Chief of Staff yuko wapi? na Mkuu wa magereza naye yuko wapi tupe habari.
 
unauliza vitu vilivyo wazi kabisa, daftari hata wewe ukitaka utapewa. Swala la mkuu wa majeshi ndio umeonyesha upumbavu wa hali ya juu kabisa. Tatizo lenu mnajua mtandao ni JF peke yake. Jifunze kutumia mtandao ndio uje kuongea.

CCM itashinda kwa kishindo kikubwa sana, na nyie vifaranga mtarudi humu na adabu ya kutosha.
 
Aliyezusha Si Kashakamatwa Sasa Kingine Mnachotaka Nini?
Mbona uzushi unaendelea sasa!!!?.


Nimekwambia kwakuwa una shida naye au watakakujua aliko nenda ofisini kwake na siyo humu kwenye mitandao hakai mtandaoni ukifika ofisini kwanza ukarimu wa wale watu utapata chai kisha watakupeleka kwake familia yake itakujibu maswali yako yote. Wala sina hasira na wewe nakupa maelekezo ili malengo yako ya kutaka kujua aliko CDF yafanikiwe je, wajua pia Chief of Staff yuko wapi? na Mkuu wa magereza naye yuko wapi tupe habari.
hakika humu hakuna jibu sahihi,ndio maana mleta mada anawaagiza watu wenye mkono mkubwa kukomaa na hii ishu.ni ndogo tu na kama yupo majibu yatapatikana soon.

CS na CGP hawajazushiwa kifo kumbuka.
 
Back
Top Bottom