Taarifa Nyeti-Mbinu ya Wizi wa kura hii hapa PART 1

Rutunga M

JF-Expert Member
Mar 16, 2009
1,769
1,382
Samahani sana kwa kutoa hii

Tambua katika maisha kujua mbinu za wizi na husikamatwe ni ujuzi na elimu lakini kujua namna ya kuzuia wizi ni ujuzi na elimu zaidi.

Hapa chini nawaletea ‘kuntu’ wizi wa kura unavyofanyika na namna ya kuuuzuia.(Utaratibu huu unatumiwa na nchi mbalimbali duniani

Zipo mbinu nyingi lakini leo nitaongelea mbinu moja nay a kipekee inayotegemewa kw asilimia 85 maana nyingine ni pata potea.

Vituo hewa vya kupigia kura.
Hivi vipo tayari katika orodha ya vituo vya kupigia kura na vina wapiga kura hewa,hata vyama nje ya kile chama chetu hawajui huu mchezo utakavyochezwa.

Kosa kubwa hapa wafuasi wa vyama wao wanaongelea suala la kulinda kura,hilo halisaidii kuzuia hii mbinu.

Kinachofanyika.
Kwa mfano kata moja ya Mwanakuja katika jimbo la Kyelwa kuna vituo 8 kati ya hivyo nane vituo 4 ni hewa vya Maganzo,Twila,Kulele na Mutwi katika jimbo la Kyelwa,Vyama vitajikita katika kuweka mawakala katika vituo 4 halali bila kujua kuwa kuna vituo vingine 4 hewa.

Hivyo vituo hewa vimepewa wasimamizi hewa,walinzi hewa,mawakala hewa nk,vitapigiwa kura ofisini na kuandika matokeo ya hivyo vituo na kutoa takwimu za wagombea wote kulingana na walivyogombea lakini hapa mlengwa ni wa chama Fulani.

Wakati wasimamizi ‘HALISI’ wakirejesha matokeo ya takwimu kutoka vituo vyao kwa mkurugenzi tayari watakuta na wasimamizi ‘FEKI’ wamekwisha ejesha takwimu kutoka vituo FEKI.Mkurugenzi atajumlisha.Kabla ya kupiga kura mgombea X atakuwa na kura 0 huku Y akiwa na kura 2,000 katika kata.

Kazi hii ya kupigisha kura hizi bandia itaanza kufanyika October 22-24.kabla ya kupiga kura October 25.

Namna ya kudhibiti huu Wizi.
Wawakilishi wa vyama ni kupata IDADI halisi ya vituo katika kata na kuvitambua vyote kwa majina,wakipewa orodha husika iwe imesainiwa na mkurugenzi kuwa hivyo ndo vituo halali.

Utaratibu ukibadilika nitawajuza
 
Elimu haina mipaka! a big up; tafadhali zungusha hili bandiko lako kwenye mitandao mingi zaidi; Kitabu cha Uso, twitter; mpekuzi huru,na mablog mengine mengi nk ili Heads up hii muhimu iwafikie watu wengi zaidi.

Mdharau mwiba humchoma; we have to stay vigilant; kila taarifa inastahili kufanyiwa kazi kwanza kabla ya kuamua kuitumia au kuipuuza! well done mpiganaji.
 
pia tusisahau ukishapiga kura ile karatasi usiikunje katikati, anza na robo ya juu ifunike hapo utakuwa umemfunika mapadlock, halafu ifunike tena, hapo utakuwa umefunika kura yako kwa sehemu nyeupe isiyo na jina lolote, good luck
 
pia tusisahau ukishapiga kura ile karatasi usiikunje katikati, anza na robo ya juu ifunike hapo utakuwa umemfunika mapadlock, halafu ifunike tena, hapo utakuwa umefunika kura yako kwa sehemu nyeupe isiyo na jina lolote, good luck
kuna madhara gani kama sitofuata utaratibu huo?
 
Samahani sana kwa kutoa hii

Tambua katika maisha kujua mbinu za wizi na husikamatwe ni ujuzi na elimu lakini kujua namna ya kuzuia wizi ni ujuzi na elimu zaidi.

Hapa chini nawaletea ‘kuntu' wizi wa kura unavyofanyika na namna ya kuuuzuia.(Utaratibu huu unatumiwa na nchi mbalimbali duniani

Zipo mbinu nyingi lakini leo nitaongelea mbinu moja nay a kipekee inayotegemewa kw asilimia 85 maana nyingine ni pata potea.

Vituo hewa vya kupigia kura.
Hivi vipo tayari katika orodha ya vituo vya kupigia kura na vina wapiga kura hewa,hata vyama nje ya kile chama chetu hawajui huu mchezo utakavyochezwa.

Kosa kubwa hapa wafuasi wa vyama wao wanaongelea suala la kulinda kura,hilo halisaidii kuzuia hii mbinu.

Kinachofanyika.
Kwa mfano kata moja ya Mwanakuja katika jimbo la Kyelwa kuna vituo 8 kati ya hivyo nane vituo 4 ni hewa vya Maganzo,Twila,Kulele na Mutwi katika jimbo la Kyelwa,Vyama vitajikita katika kuweka mawakala katika vituo 4 halali bila kujua kuwa kuna vituo vingine 4 hewa.

Hivyo vituo hewa vimepewa wasimamizi hewa,walinzi hewa,mawakala hewa nk,vitapigiwa kura ofisini na kuandika matokeo ya hivyo vituo na kutoa takwimu za wagombea wote kulingana na walivyogombea lakini hapa mlengwa ni wa chama Fulani.

Wakati wasimamizi ‘HALISI' wakirejesha matokeo ya takwimu kutoka vituo vyao kwa mkurugenzi tayari watakuta na wasimamizi ‘FEKI' wamekwisha ejesha takwimu kutoka vituo FEKI.Mkurugenzi atajumlisha.Kabla ya kupiga kura mgombea X atakuwa na kura 0 huku Y akiwa na kura 2,000 katika kata.

Kazi hii ya kupigisha kura hizi bandia itaanza kufanyika October 22-24.kabla ya kupiga kura October 25.

Namna ya kudhibiti huu Wizi.
Wawakilishi wa vyama ni kupata IDADI halisi ya vituo katika kata na kuvitambua vyote kwa majina,wakipewa orodha husika iwe imesainiwa na mkurugenzi kuwa hivyo ndo vituo halali.

Utaratibu ukibadilika nitawajuza

Home Isiwe hizi BVR za sasa ndio zinaandikisha wapigakura wa hivi vituo.
 
Ina maana alama yangu ya VEMA inaweza kuoneka impepigwa kwingine au ikoje hii ebu fafanua kiongozi
pia tusisahau ukishapiga kura ile karatasi usiikunje katikati, anza na robo ya juu ifunike hapo utakuwa umemfunika mapadlock, halafu ifunike tena, hapo utakuwa umefunika kura yako kwa sehemu nyeupe isiyo na jina lolote, good luck
 
Samahani sana kwa kutoa hii

Tambua katika maisha kujua mbinu za wizi na husikamatwe ni ujuzi na elimu lakini kujua namna ya kuzuia wizi ni ujuzi na elimu zaidi.

Hapa chini nawaletea ‘kuntu’ wizi wa kura unavyofanyika na namna ya kuuuzuia.(Utaratibu huu unatumiwa na nchi mbalimbali duniani

Zipo mbinu nyingi lakini leo nitaongelea mbinu moja nay a kipekee inayotegemewa kw asilimia 85 maana nyingine ni pata potea.

Vituo hewa vya kupigia kura.
Hivi vipo tayari katika orodha ya vituo vya kupigia kura na vina wapiga kura hewa,hata vyama nje ya kile chama chetu hawajui huu mchezo utakavyochezwa.

Kosa kubwa hapa wafuasi wa vyama wao wanaongelea suala la kulinda kura,hilo halisaidii kuzuia hii mbinu.

Kinachofanyika.
Kwa mfano kata moja ya Mwanakuja katika jimbo la Kyelwa kuna vituo 8 kati ya hivyo nane vituo 4 ni hewa vya Maganzo,Twila,Kulele na Mutwi katika jimbo la Kyelwa,Vyama vitajikita katika kuweka mawakala katika vituo 4 halali bila kujua kuwa kuna vituo vingine 4 hewa.

Hivyo vituo hewa vimepewa wasimamizi hewa,walinzi hewa,mawakala hewa nk,vitapigiwa kura ofisini na kuandika matokeo ya hivyo vituo na kutoa takwimu za wagombea wote kulingana na walivyogombea lakini hapa mlengwa ni wa chama Fulani.

Wakati wasimamizi ‘HALISI’ wakirejesha matokeo ya takwimu kutoka vituo vyao kwa mkurugenzi tayari watakuta na wasimamizi ‘FEKI’ wamekwisha ejesha takwimu kutoka vituo FEKI.Mkurugenzi atajumlisha.Kabla ya kupiga kura mgombea X atakuwa na kura 0 huku Y akiwa na kura 2,000 katika kata.

Kazi hii ya kupigisha kura hizi bandia itaanza kufanyika October 22-24.kabla ya kupiga kura October 25.

Namna ya kudhibiti huu Wizi.
Wawakilishi wa vyama ni kupata IDADI halisi ya vituo katika kata na kuvitambua vyote kwa majina,wakipewa orodha husika iwe imesainiwa na mkurugenzi kuwa hivyo ndo vituo halali.

Utaratibu ukibadilika nitawajuza

Tena vingi vitakuwa kwenye kambi za jeshi.Niliwahi post humu.Ukawa kueni macho!
 
Ina maana alama yangu ya VEMA inaweza kuoneka impepigwa kwingine au ikoje hii ebu fafanua kiongozi

kama hujaiona karatasi ya kura huwezi kujua, ila siku ikifika fanya hivyo, maana mamvi kawekwa wa. nne then mapadlock yuko. mwisho mwisho
 
N.B
********

VITUO VYOTE VYA KUPIGIA KURA AMBAVYO VITAKUWA ""LISTED"" KATIKA KARATASI AU FORM HUSIKA NI LAZIMA VIWE """VERIFIED""""/ KITUO,ENEO,KATA,WILAYA,MKOA,JIMBO //
## HUU NI USHAURI KWA UKAWA #
ii
 
Ni ushauri mzuri sana na ni hekima kuufanyia kazi. Kumbukeni kuna wajumbe wa nyumba kumi kumi wa CCM walishikwa wakiandikisha na kuchukua details za wapiga kura katika vitambulisho vyao.
 
Back
Top Bottom