Kwanza tuambie uko wapi, kilo moja ni shillingi ngapi, na kama mtu yupo mbali na sehemu uliyopo anawapataje. Na mwisho, tueleze ni kwa nini tununue kwako na si kwa wachuuzi wengine wa sato . Karibu
Kwanza tuambie uko wapi, kilo moja ni shillingi ngapi, na kama mtu yupo mbali na sehemu uliyopo anawapataje. Na mwisho, tueleze ni kwa nini tununue kwako na si kwa wachuuzi wengine wa sato . Karibu