Taarifa kwa vyombo vya habari kutoka CCM kuhusu matukio ya Tanga

kamati ya ufundi january anachekesha kweli. tulitazamia angelaani kwa nguvu zote kitendo cha vijana aliowakodisha wakavuruge mkutano wa ukawa kule bumbuli lakini leo anakuja na urongo usio na mashiko kutaka kutuaminisha ati wafuasi wa ukawa walitupa mawe ofisi za ccm. kwa taarifa ya january na ma-ccm wengine ni kuwa sisi tulipokuwa tunatoka mkutanoni kwa makundi tukirejea majumbani polisi walitupiga mabomu na kila mtu akakimbia kivyake. labda january kabla hajasema urongo huu atutupie clip moja inayoonyesha wafuasi wa ukawa wakirusha chupa za mikojo. sisi ni wastaarabu sana japo kina january wanadhani kuwa wanayo hatimiliki ya tanzania yetu.
 
 
Hawa watu narudia wameachwa sana, kiroba chako usumbue wengine nimuda Wa kuliangalia hili
 
Yaani kuwa mjumbe ndio unakuwa msemaji mkuu? Hiyo halmashauri na hiyo kamati hazina viongozi? maana sasa Makamba ndiye msemaji...anyway, hayo tuwaachie wenyewe..Ila tu akumbushwe kuwa yeye hapo anapiga propaganda wala hasemi wala kusimamia kweli. Sihitaji kufafanua.
 
January Makamba ni mjinga! Chama kilichoasisi siasa za kijinga kwenye huu uchaguzi ni CCM! Sasa ni jino kwa jino!

January Makamba ni mjinga!
 
Nadhani lengo kuu ni kupunguza maumivu waliyopata fisiem huko Tanga, sijaona mahali UKAWA wanalia lia kama JM, pamoja na kutukanwa matusi ya aina zote
 
Huyu jamaa aliyeiba mtihani wa form four Galanos na kufutiwa matokeo, akiwa waziri mkuu itabidi wengine tuhamie Kenya. Uzuri ni kwamba mwenyezi Mungu ana mawazo mengine na ametuletea Edward Lowassa kuwa rais wa tano wa JMT. Hao akina Makamba waendelee kujikomba wataishia kunawa. Watoto wa mjini wanasema hata aoge au avae nguo mpya, MJINI haendi. UKAWA ndio habari ya mjini
 
Sera gani mnazinadi zaidi ya matusi mliyobarikiwa kuyamwaga kwa jamii,nakuonyesha ndiyo Sera zenu za ccm
 
 
Mwigulu jana hapa Karatu alivyotutukana wambulu kwa matusi yote akamalizia kuwaita wapinzani nyumbu nalo unasemaje.....
 

Makamba kabla hujalileta kwetu ungewapelekea viongozi wa matusi na kugawa watanzania kama Nape Makongoro Msukuma Lusinde na Bulembo ili walisome kwanza.
 
Kamweleze baba yako




Hivi we January unafikiri sisi hatujui nyie ccm mnayowafanyia ukawa?naona umekosa cha kuongea unataka kazi kick
 
Duuh comment yangu ya kwanza na ya pili ishanyofolewa.... Haya bana maboss hakuna shida.... Only 24 dayz remain
 
Hivi ccm wanadhubutu kutoa kauli km hii wakati jaji lubuva ametoka kuwaonya waache matusi majukwaani?nani anaongea lugha za kudhalulisha na matusi km sio viongozi wa ccm? Nape jana katukana sana, msukuma wote tulimsikia, Lusunde, pia Mwigulu wao kazi yao maalumu ni matusi. Sasa huyu analeta unafiki gani? Labda kashtushwa na mafuriko ya jana Tanga!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…