Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 28,632
- 46,108
Kwa hili la magari ya chini ya miaka 8 au yasizidi 10 kwa kweli mnaumiza watu at least mngefanya 12 years old ili wengi waweze kumudu kununua
Wanafaidi kutuzidi sisi wenye bandari? Tunakosea wapi?Kweliii had mafuta bei ndogo..
Msimamo wetu ni upi ikiwa tunapinga gari chakavu kwa kuziwekea ushuru mkubwa wakati huo huo ukinununua gari mpya huo ushuru wake pia ni moto wa kuotea mbali?Kufuatia taarifa iliyoko katika mtandao wa Kijamii ikidai TRA imepandisha ushuru wa magari tunapenda kukanusha na kufafanua kama ifuatavyo;
1. Viwango vya kodi vinapitishwa na bunge na sio TRA.
2.Kodi hukokotolewa kwa kuzingatia thamani ya gari kwenye soko la dunia, gharama ya usafirishaji na bima. Ikiwa gari limenunuliwa kwa fedha za kigeni kiwango cha kubadilisha fedha cha siku husika kitatumika na sio ya wakati wa kuagiza gari hilo hivyo huenda ikatofuatiana na kiwango cha kikokotoo wakati wa kuagiza.
3. Umri wa gari unaweza kusababisha kodi ikaongezeka kutokana na uchakavu, kwa magari yaliyotengenezwa zaidi ya miaka 8 lakini haifiki miaka 10 kodi ya uchakavu ni 15% na gari lenye umri kuanzia miaka kumi na kuendelea tangu limetengenezwa kodi ya uchakavu ni 30%.
Kwa maelezo zaidi wasiliana nasi bure kwa simu namba 0800110016 au 0800 750075 au 0800 780078 siku ya Jumatatu mpaka Ijumaa kuanzia saa 2 kamili asubuhi mpaka saa 1 kamili jioni au tuma barua pepe kwenda huduma@tra.go.tz.
Pamoja tunajenga taifa letu
Imetolewa na: Idara ya Elimu kwa Mlipakodi na Mawasiliano
Mawazo ya kimasikini kabisa, as if ni kosa la mwananchi kutokuwepona miundombinu ya kutosha kuhimili gari zitakazoagizwa.Gharama za kuingiza magari Tanzania ziko fair kabisa sidhani itakuwa busara kupunguza zaidi ya hapa zilipo. Hata rate ya kuingiza magari ni nzuri sana na hii inamaanisha kuwa kodi zinalipika. Gharama zikupunguzwa zitafanya nchi igeuke jalala la magari chakafu na pia msongamano wa magari. Cha muhimu ni kuwa fedha zinatopatikana zitumike kwenye maendeleo ya nchi na siyo jinsi zinavyotapanywa sasa hivi kwa viongozi kuishi maisha ya anasa.
Nadhani lengo sio kumudu, ila watakaoangukia kwenye kundi hilo wawe wengi mapato yaongezeka.Kwa hili la magari ya chini ya miaka 8 au yasizidi 10 kwa kweli mnaumiza watu at least mngefanya 12 years old ili wengi waweze kumudu kununua
Na hili ndio walitakiwa kulieleza !!!Maneno mengi ya nini. Mmepandisha au hamjapandisha
Nafkr bandari huwa inakata Tu gate fee , alaf kule kwao mamlaka zao zina viwango tofaut na zetu , hvyo gar zao zinakuwa ni cheap, tofaut na sie gari zinazotumika bongo zinakatwa makoro koro yote pamojaInakuwaje gari ikiagizwa Zambia au Malawi ushuru wake ni mdogo kuliko Tanzania wakati zote zinapitia bandari ya Dar Tz?
Mawazo yangu ni ya kitajiri. Kama huna fedha ya kulipia kodi basi baki na umaskini wako.Mawazo ya kimasikini kabisa, as if ni kosa la mwananchi kutokuwepona miundombinu ya kutosha kuhimili gari zitakazoagizwa.
Ni sawa na kumwambia kijana wako jitahidi uwe mjinga na ujibu vibaya mitihani ili usichaguliwe kwenda sekondari maana kusoma ni gharama mimi sitamudu
Nchi zilizoendelea zinajua umuhimu wa usafiri kwa raia gari mpaka dola 500 na inatembea vizuri lakini hapa kukomoana na kufanya maendeleo yawe duni hasa mikoaniHii sheria ya kuwekea magari yenye umri mkubwa sio sahihi kabisa inamaana mtu akiwekewa kodi kubwa na akalipa je garii itapungua umri? Tusidanganyane watanzania kununua gari yenye umri mdogo uchumi kwa wengi hauturuhusu tutapambania magari ya 2005-2009 huko
Jibuni maswali mmeulizwa mnakaa kimya,mmekuja kufafanua nini hpaKufuatia taarifa iliyoko katika mtandao wa Kijamii ikidai TRA imepandisha ushuru wa magari tunapenda kukanusha na kufafanua kama ifuatavyo;
1. Viwango vya kodi vinapitishwa na bunge na sio TRA.
2.Kodi hukokotolewa kwa kuzingatia thamani ya gari kwenye soko la dunia, gharama ya usafirishaji na bima. Ikiwa gari limenunuliwa kwa fedha za kigeni kiwango cha kubadilisha fedha cha siku husika kitatumika na sio ya wakati wa kuagiza gari hilo hivyo huenda ikatofuatiana na kiwango cha kikokotoo wakati wa kuagiza.
3. Umri wa gari unaweza kusababisha kodi ikaongezeka kutokana na uchakavu, kwa magari yaliyotengenezwa zaidi ya miaka 8 lakini haifiki miaka 10 kodi ya uchakavu ni 15% na gari lenye umri kuanzia miaka kumi na kuendelea tangu limetengenezwa kodi ya uchakavu ni 30%.
Kwa maelezo zaidi wasiliana nasi bure kwa simu namba 0800110016 au 0800 750075 au 0800 780078 siku ya Jumatatu mpaka Ijumaa kuanzia saa 2 kamili asubuhi mpaka saa 1 kamili jioni au tuma barua pepe kwenda huduma@tra.go.tz.
Pamoja tunajenga taifa letu
Imetolewa na: Idara ya Elimu kwa Mlipakodi na Mawasiliano
Wanafata principal ya kipumbavu ya kuzuia dumping ilikuwepo kabla ya recycling industry kuja.Hii sheria ya kuwekea magari yenye umri mkubwa sio sahihi kabisa inamaana mtu akiwekewa kodi kubwa na akalipa je garii itapungua umri? Tusidanganyane watanzania kununua gari yenye umri mdogo uchumi kwa wengi hauturuhusu tutapambania magari ya 2005-2009 huko
Muendelezo wa Roho ya kiswahili wachache ndio wamiliki magariNchi zilizoendelea zinajua umuhimu wa usafiri kwa raia gari mpaka dola 500 na inatembea vizuri lakini hapa kukomoana na kufanya maendeleo yawe duni hasa mikoani
Gharama za kuingiza magari Tanzania ziko fair kabisa sidhani itakuwa busara kupunguza zaidi ya hapa zilipo. Hata rate ya kuingiza magari ni nzuri sana na hii inamaanisha kuwa kodi zinalipika. Gharama zikupunguzwa zitafanya nchi igeuke jalala la magari chakafu na pia msongamano wa magari. Cha muhimu ni kuwa fedha zinatopatikana zitumike kwenye maendeleo ya nchi na siyo jinsi zinavyotapanywa sasa hivi kwa viongozi kuishi maisha ya anasa.
Huku ni kuwakosesha raia vyombo vya usafiri huku wao wakitumia mwanya wa nafasi zao serikalini kukwepa kodi pindi wanapoagiza magari toka ng'ambo tena kwa pesa za walipa kodi wanazozikwapua.Gharama za kuingiza magari Tanzania ziko fair kabisa sidhani itakuwa busara kupunguza zaidi ya hapa zilipo. Hata rate ya kuingiza magari ni nzuri sana na hii inamaanisha kuwa kodi zinalipika. Gharama zikupunguzwa zitafanya nchi igeuke jalala la magari chakafu na pia msongamano wa magari. Cha muhimu ni kuwa fedha zinatopatikana zitumike kwenye maendeleo ya nchi na siyo jinsi zinavyotapanywa sasa hivi kwa viongozi kuishi maisha ya anasa.