Si ni yale yale ya kufurahia matokeo ya kura kubandikwa vituoni, mkikuta kilichobandikwa ni tofauti na kilichotumwa tume ya Uchaguzi mtalalamika hivyo hivyo yataisha.
Mwigulu,Nape,January makamba,makonda na ridhiwani kikwete na mzee makamba ndio chanzo cha vijana kuichukia ccm.Wanajidai ccm na nchi hii iko kwa ajili yao