YEYE
JF-Expert Member
- Nov 12, 2011
- 437
- 72
Zoezi la utoaji vyeti lililokuwa lianze leo tar 1/6 limeshindikana kwa sababu zisizoeleweka..
Kwa walioenda leo kuchukua wameona usumbufu uliokuwa unaletwa na utawala kutokana na kutokuwa na mawasiliano baina yao..Tangazo walilotoa lilikuwa linataka graduates waje na 'clearance form from the bursar's office' ila tulichokuta ni kuwa zinahitajika na risiti zako zote ili kufanya clearance tena, pamoja na kuwa umehakikisha 'Loans' board' wamekwishalipa 'Tution fee' yako yote, na kama imetokea board haijalipa baadhi ya fedha hautaweza kupewa cheti hadi ilipwe.
MWISHO:-
Hadi mida ya jioni hii vyeti vilikuwa bado havijafika chuo kutokea vilipokuwa vinachapwa, ila wamesema ndo wanashughulikia kuvifanyia clearance ila vimeshafika Dar toka jana, taarifa hii ilitoka kwa Prof. Mwamfupe
Kwa mtakaokuja kuanzia kesho njooni na risiti zenu zote na muhakikishe hamna ela zenu za ada board wameshalipa..
Ni hayo tu ruksa kuniuliza swali.
Kwa walioenda leo kuchukua wameona usumbufu uliokuwa unaletwa na utawala kutokana na kutokuwa na mawasiliano baina yao..Tangazo walilotoa lilikuwa linataka graduates waje na 'clearance form from the bursar's office' ila tulichokuta ni kuwa zinahitajika na risiti zako zote ili kufanya clearance tena, pamoja na kuwa umehakikisha 'Loans' board' wamekwishalipa 'Tution fee' yako yote, na kama imetokea board haijalipa baadhi ya fedha hautaweza kupewa cheti hadi ilipwe.
MWISHO:-
Hadi mida ya jioni hii vyeti vilikuwa bado havijafika chuo kutokea vilipokuwa vinachapwa, ila wamesema ndo wanashughulikia kuvifanyia clearance ila vimeshafika Dar toka jana, taarifa hii ilitoka kwa Prof. Mwamfupe
Kwa mtakaokuja kuanzia kesho njooni na risiti zenu zote na muhakikishe hamna ela zenu za ada board wameshalipa..
Ni hayo tu ruksa kuniuliza swali.