TAARIFA: Halmashauri Ya Manispaa Ya Kinondoni

Mwanahabari Huru

JF-Expert Member
Mar 9, 2015
14,242
34,903
Mstahiki meya wa manispaa ya Kinondoni, mh. Boniface Jacob kesho jumatano tarehe 20/04/2016 saa 3:30 asubuhi katika ukumbi wa mikutano wa manispaa atasaini mkataba na mshauri mwelekezi (consultant) atakayetoa huduma ya usimamizi wa ujenzi wa miundombinu ya miradi ya DMDP (Dar es salaam Metropolitan Development Project) mradi utakao gharimu kiasi cha shillingi bilioni 50, kwa manispaa ya Kinondoni, ukihusisha jumla ya barabara za lami 13, na ujenzi wa sakafu na kingo za mto ng'ombe, ndani ya manispaa ya Kinondoni.

Wote mnakalibishwa kushuhudia.

Imetolewa
Na afisa habari na mahusiano
Manispaa ya kinondoni
Sebastian mhowera
 
Mstahiki meya wa manispaa ya Kinondoni, mh. Boniface Jacob kesho jumatano tarehe 20/04/2016 saa 3:30 asubuhi katika ukumbi wa mikutano wa manispaa atasaini mkataba na mshauri mwelekezi (consultant) atakayetoa huduma ya usimamizi wa ujenzi wa miundombinu ya miradi ya DMDP (Dar es salaam Metropolitan Development Project) mradi utakao gharimu kiasi cha shillingi bilioni 50, kwa manispaa ya Kinondoni, ukihusisha jumla ya barabara za lami 13, na ujenzi wa sakafu na kingo za mto ng'ombe, ndani ya manispaa ya Kinondoni.

Wote mnakalibishwa kushuhudia.

Imetolewa
Na afisa habari na mahusiano
Manispaa ya kinondoni
Sebastian mhowera

Kama taarifa hii ni kweli imeandikwa na Afisa habari na Mahusiano wa Manispaa ya Kinondoni basi ni wazi, kwa maoni yangu, hajapitia taaluma ya uandishi wa habari. Hii ni taarifa ya kiwango cha chini... Waandishi wa habari, public relations officers na communication officers watafahamu nazungumzia nini kuhusu taarifa hii.
 
Mstahiki meya wa manispaa ya Kinondoni, mh. Boniface Jacob kesho jumatano tarehe 20/04/2016 saa 3:30 asubuhi katika ukumbi wa mikutano wa manispaa atasaini mkataba na mshauri mwelekezi (consultant) atakayetoa huduma ya usimamizi wa ujenzi wa miundombinu ya miradi ya DMDP (Dar es salaam Metropolitan Development Project) mradi utakao gharimu kiasi cha shillingi bilioni 50, kwa manispaa ya Kinondoni, ukihusisha jumla ya barabara za lami 13, na ujenzi wa sakafu na kingo za mto ng'ombe, ndani ya manispaa ya Kinondoni.

Wote mnakalibishwa kushuhudia.

Imetolewa
Na afisa habari na mahusiano
Manispaa ya kinondoni
Sebastian mhowera

Vipi barabara ya tandale uzuri itakuwepo kwenye huo mpango?kwani barabara hiyo kwa sasa ina mahandaki balaa
 
Mkataba mpaka mkutano? Bilioni 50 mbona nyingi sana kuna harufu ya ufisadi hapo
 
Kama taarifa hii ni kweli imeandikwa na Afisa habari na Mahusiano wa Manispaa ya Kinondoni basi ni wazi, kwa maoni yangu, hajapitia taaluma ya uandishi wa habari. Hii ni taarifa ya kiwango cha chini... Waandishi wa habari, public relations officers na communication officers watafahamu nazungumzia nini kuhusu taarifa hii.

Nakuunga mkono kama uandishi wenyewe ndio huu basi inabidi huyo Afisa Habari wa Manispaa achunguzwe asijekuwa ni kanjanja maana duuu nimekuelewa Mkuu
 
Tunashukuru kwa taarifa na mbarikiwe kwa kuelekeza jitihada zenu kutusaidia wananchi.
 
Vipi barabara ya tandale uzuri itakuwepo kwenye huo mpango?kwani barabara hiyo kwa sasa ina mahandaki balaa

Hii barabara ni Jipu ili ijengwe iwe standard inahitaji kuchimbwa na kuwekewa tuta kubwa iiinuliwe vya kutosha kuanzia Darajani pale mpaka kwa tumbo.
yani Darajani, uzuri, Shule, tanesco, Mtogole, Chama, Yemeni, Kwa Tumbo, na Kwa shemeji POPO BAWA.
Humo kote kunahitaji TUTA tena Tuta la ukweli.

lakini hii barabra nadhani ipo kwenye mpango wa DART!
 
Kama taarifa hii ni kweli imeandikwa na Afisa habari na Mahusiano wa Manispaa ya Kinondoni basi ni wazi, kwa maoni yangu, hajapitia taaluma ya uandishi wa habari. Hii ni taarifa ya kiwango cha chini... Waandishi wa habari, public relations officers na communication officers watafahamu nazungumzia nini kuhusu taarifa hii.
Kila mtu anayeandika humu ni mwandishi wa habari? Mi sio mwandishi wa habari, hunielewi ninachosema? I miss your point bro....
 
Hii mikataba huwa inasainiwa kiholela matokeo yake tunakuwa na ufisadi ulioota minyororo
 
Kama taarifa hii ni kweli imeandikwa na Afisa habari na Mahusiano wa Manispaa ya Kinondoni basi ni wazi, kwa maoni yangu, hajapitia taaluma ya uandishi wa habari. Hii ni taarifa ya kiwango cha chini... Waandishi wa habari, public relations officers na communication officers watafahamu nazungumzia nini kuhusu taarifa hii.
Kamaliza na "wote mnakalibishwa" jipu hilo
 
Kesho Meya na Consultants wataongea na waandishi wa Habari.

Hivi watu wa CCM mbona wanajivua nguo kukosoa kijinga hivi?
 
Halmashauri ya manispaa ya kinondoni
Mstahiki Meya wa manispaa ya Kinondoni, Mh. Boniface jacob kesho jumatano tarehe 20/04/2016 saa 3:30 Asubuhi katika ukumbi wa mikutano wa manispaa atasaini mkataba na mshauri mwelekezi (consultant) atakayetoa huduma ya usimamizi wa ujenzi wa miundombinu ya miradi ya DMDP (Dar es salaam Metropolitan Development Project) mradi utakao gharimu kiasi cha shillingi billioni 50, kwa manispaa ya Kinondoni, ukihusisha jumla ya barabara za lami 13, na ujenzi wa sakafu na kingo za mto ng'ombe, ndani ya manispaa ya kinodnoni.

Wote mnakaribishwa kushuhudia.

Imetolewa
Na afisa habari na mahusiano
Manispaa ya kinondoni
Sebastian mhowera
 
Back
Top Bottom