TAARAB ALBUM MOJA YA ZAMANI

Jmo

Member
Joined
Jul 15, 2011
Posts
17
Reaction score
2
Naomba msaada mtu anitumie nyimbo au album nzima ya taarab moja ya zamani (Majina ya nyimbo, album na muimbaji Simjui).
Baadhi ya nyimbo kwa ufupi zilikuwa zinaimba hv:
1. Bado nakuona ndama, nakuona hayawanii!
2. Nakula nao na wabaya ni haohao ooh
Nacheza nao, na wabaya ni haohao oohX2
 
Hats Mimi naitafuta sana hiyo nyimbo...oooh cheko midomoni mwao.....
Bila shaka sana hila..
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…