mwenzenu huwa natatizwa na selection ya form iv kwenda form v, vyuo nk. Huwa inakuwaje waliofaulu vizuri wanaenda a-level, vyuo vizuri nk, lakini wale wa karibu na kufeli kabisa kama div iv.28 hivi ndo wanaopelekwa ktk kozi za ualimu, tunategemea nini kwa watoto wetu mashuleni wanapofundishwa na 'failures'? Nisaidieni