Habari Wakuu..nina magari mawili Toyota Run x na Kulger.
Magari yote mawili yana changamoto ya kuwasha taa ya Engine nikitembea distance fulani..Yani sio kwamba inawaka muda uleule nikiwasha gari labda nikitembea kilometers kadhaa ndio unakuta inawaka.
Hii Run x ni ndani ya siku moja ndio huwa inawaka ila kulger inaweza kupita hata week haijawaka,ila siku usiyotarajia unashanga tu imewaka.
Nini inaweza kuwa shida kwa magari yote tafadhari.
Nawasilisha.
Magari yote mawili yana changamoto ya kuwasha taa ya Engine nikitembea distance fulani..Yani sio kwamba inawaka muda uleule nikiwasha gari labda nikitembea kilometers kadhaa ndio unakuta inawaka.
Hii Run x ni ndani ya siku moja ndio huwa inawaka ila kulger inaweza kupita hata week haijawaka,ila siku usiyotarajia unashanga tu imewaka.
Nini inaweza kuwa shida kwa magari yote tafadhari.
Nawasilisha.