Kwa kweli. Mimi pia sitaki mambo ya kutambulishana mpaka kama ndoa itahusika. Na mwanaume atatambulishwa kwa ndugu zangu pale atakapoleta barua nyumbani.Utatambulisha Wangapi, binafsi yangu kumtambulisha mtu ni mpaka tuwe tunataka kuelekea next stage period,
Sasa shida yote ya nini si bora uuchune mpaka ukiwa na uhakika ndo unamtambulisha.Binafsi nishawatambulisha kama kumi hivi lakini sijapanga kumuoa hata mmoja
That's the spirit ,Kwa kweli. Mimi pia sitaki mambo ya kutambulishana mpaka kama ndoa itahusika. Na mwanaume atatambulishwa kwa ndugu zangu pale atakapoleta barua nyumbani.
Mkuu naona umejitengenezea fursa ya kukwepa kodi ya pango. Hadi rahaMimi demu wangu ni mtoto wa mama mwenye nyumba...
Mama yake anajua kabisa kuwa namgonga binti yake... Wadogo zake wote wanajua....
Majiran wote pia...
isipokua dingi yake ndio hajui...
Pamoja na yote hayo hajawahi kujitambulisha hata kwa mtu mmoja...
Muda bado..
[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
Ukweli unaouma" true saySio kila mtu anafaa kutambulisha....