Vyombo vya usalama vya kimataifa na dunia nzima macho yao yote yapo Mashariki ya kati.
Baada ya dunia kushuhudia unyama na ujasusi wakutisha ktk mashariki ya kati sasa mimba imefika miezi tisa na tunakaribia kushuhudia mtoto kuzaliwa kwa uchungu mkubwa.
Israel inaenda kuichapa Iran jambo hili linawaumiza sana mataifa makubwa na hasa ikizingatiwa kuwa vita hii haitokuwa vita yakawaida.
Israel wana imani moja kabla hujawawahi wanakuwahi wewe. Hii ni moja ya imani ya waisrael na wame tekeleza mission zao bila kushindwa wala kukata tamaa.
Vita hii ni vita kubwa ambayo haikuwahi kutokea ktk dunia ya sasa.
Israel wataenda kutekeleza mission ngumu kuwahi kutokea kwa taifa lao huku wakiwa wamesha fanya full analysis yakile kinaweza kuwatomea watu wao na dunia.
Vita hii inategemea kutokea wakati wowote usio julikana.
Israel wakisaidiwa na jeshi lisilo onekana la Marekan. Wata
Baada ya dunia kushuhudia unyama na ujasusi wakutisha ktk mashariki ya kati sasa mimba imefika miezi tisa na tunakaribia kushuhudia mtoto kuzaliwa kwa uchungu mkubwa.
Israel inaenda kuichapa Iran jambo hili linawaumiza sana mataifa makubwa na hasa ikizingatiwa kuwa vita hii haitokuwa vita yakawaida.
Israel wana imani moja kabla hujawawahi wanakuwahi wewe. Hii ni moja ya imani ya waisrael na wame tekeleza mission zao bila kushindwa wala kukata tamaa.
Vita hii ni vita kubwa ambayo haikuwahi kutokea ktk dunia ya sasa.
Israel wataenda kutekeleza mission ngumu kuwahi kutokea kwa taifa lao huku wakiwa wamesha fanya full analysis yakile kinaweza kuwatomea watu wao na dunia.
Vita hii inategemea kutokea wakati wowote usio julikana.
Israel wakisaidiwa na jeshi lisilo onekana la Marekan. Wata