T-shirt za Manga kwa bei poa

T-shirt za Manga kwa bei poa

narrybe

New Member
Joined
Nov 4, 2019
Posts
1
Reaction score
2
Kwa wakazi wa Morogoro na mikoani huduma mpaka mahali ulipo, nauza tshirt manga plain kwa jumla bei zetu ni poa sana. Weka oda mapema na rangi ya tshirt utakazo.

IMG_20191104_171158_493.jpeg
 
Mbona mi nimemsikia akisema, wateja watano wa kwanza anawapa buree!
 
Sasa amesema hizo Tshirt hauzi tena
Mbona mi nimemsikia akisema, wateja watano wa kwanza anawapa buree!
Na usafiri amesema ni juu yake
Amesema anauza tshirt tatu kwa elfu mbili! Mkoani anatuma pia!
Mkuu elfu 3 ni bei kubwa sana fanya elfu 2
Dah ww bna iv ujaona kandika 3000 n ukinunua moja anakuongeza nyingne
Anauza elfu 5'000/
Bei poa ni shingapi?
Hahahahah, jf Raha Sana

Hivi hamjamsikia kasema anatoa sadaka
 
Back
Top Bottom