Jamaa mmoja mkazi wa jiji hili la mwanza anaesadikika na mgambo wa jiji nusura juzi wamtoe roho wakazi wa mtaa wa makoroboi baada ya mgambo huyo kuanza kukusanya bidhaa za wamachinga zilizokua pembezoni mwa barabara, chinga alikusanyiwa bidhaa zake walipoanza kukunjana na hapo hapo ndipo ilipogundulika tshirt aliyoivalia ndani ilikua ni ya chama cha mapinduzi, wamachinga wote waliungana na kutoa kichapo heavy kwa askari huyo ambae hana maslahi, huku wenzake watano wakimuacha kwenye mataa baada ya kuona moto wa petrol umewaka, pona pona yake ni vijana wawili wadogo wa jwtz walitokea upande wa pili na kumwombea radhi kwa watu hao waliokua wamejaa sumu...! Kutoka mwanza