System yapigwa radi

Msenyele

JF-Expert Member
Feb 7, 2012
338
86
Nina Daewoo International DHT-002 DVD HOME THEATER SYSTEM, hivi karibuni imeungua kwa sababu ya mvua iliyoambatana na radi. Japokuwa ilikuwa off lakin ilikuwa connected kwenye main na huenda ndio maana iliungua. Nilipeleka kwa fundi akabaini transistor moja AMS 1085CT 0249 iliyoko kwenye power supply na IC moja ilipasuka yakabaki baadhi ya maandishi ambayo ni CD405...Tatizo ni kutopatikana kwa Transistor AMS 1085CT 0249 hapa Mz pamoja na IC kutojulikana baadhi ya no.za IC. Msaada plz maana fundi kasema mpaka vipatikane hvyo ui2.
 
sio lazima transitor iwe ile ile. kujua specs zake inatosha kufanya replacement. ic hapo ndio kazi ipo. ina maana haikuwa na fuse?
 
Mkuu kwani haiwezekan kufanya maujanja na kuifungia power supply nyingine??

Kama fundi ni makini anaweza jaribu ic nyingine na ikapiga kazi kama kawa ila hapo cha msingi ic itakayo iweka hapo lazima aitafute kwenye power supply za vifaa vingine screper aangalie miguu ya ic ilivyo ungwa ungwa na atafute circuit nyingine na kuitizama hapo inabidi acheki ni miguu mingapi imeungwa ground na mingapi imeungwa positive kisha fananisha ile ic mbovu na hiyo ya kwenye circuit.

Mkuu kwan unapatikana wapi??
 
Mkuu, tafadhali nakili kwa umakini Model No ya hiyo system yako ui-post hapa niangalie jinsi ya kukusaidia. Pia taja idadi ya miguu ya IC na fundi aangalie miguu ya VCC au VDD na Ground iko kwenye pin zipi za IC.

alpha1
 
Mkuu, tafadhali nakili kwa umakini Model No ya hiyo system yako ui-post hapa niangalie jinsi ya kukusaidia. Pia taja idadi ya miguu ya IC na fundi aangalie miguu ya VCC au VDD na Ground iko kwenye pin zipi za IC.

alpha1

nitafanya hvyo mkuu,maana sina raha kabisa nakosa news.
 
sio lazima transitor iwe ile ile. kujua specs zake inatosha kufanya replacement. ic hapo ndio kazi ipo. ina maana haikuwa na fuse?

Fuse inazo nne na zote hazikuungua mkuu. Ahsante.
 
Mkuu kwani haiwezekan kufanya maujanja na kuifungia power supply nyingine??

Kama fundi ni makini anaweza jaribu ic nyingine na ikapiga kazi kama kawa ila hapo cha msingi ic itakayo iweka hapo lazima aitafute kwenye power supply za vifaa vingine screper aangalie miguu ya ic ilivyo ungwa ungwa na atafute circuit nyingine na kuitizama hapo inabidi acheki ni miguu mingapi imeungwa ground na mingapi imeungwa positive kisha fananisha ile ic mbovu na hiyo ya kwenye circuit.

Mkuu kwan unapatikana wapi??

Mkuu napatikana Mwanza mjini hapa na power supply nyingine huenda ikawa ngumu kuipata maana ni model ya kizamani sana. Hata hvyo ic iliyoungua haiko kwenye sakiti ya power supply ila ipo kwenye sakiti ya sound amp ndani ya redio ile ile. Nafanya utaratibu niipige picha niwarushie wakuu.
 
sio lazima transitor iwe ile ile. kujua specs zake inatosha kufanya replacement. ic hapo ndio kazi ipo. ina maana haikuwa na fuse?

Fuse inazo nne na zote hazikuungua mkuu. Ahsante.
 
Mkuu, tafadhali nakili kwa umakini Model No ya hiyo system yako ui-post hapa niangalie jinsi ya kukusaidia. Pia taja idadi ya miguu ya IC na fundi aangalie miguu ya VCC au VDD na Ground iko kwenye pin zipi za IC.

alpha1

nitafanya hvyo mkuu,maana sina raha kabisa nakosa news.
 
Nina Daewoo International HDT-002 HOME THEATER SYSTEM, hivi karibuni imeungua kwa sababu ya mvua iliyoambatana na radi. Japokuwa ilikuwa off lakin ilikuwa connected kwenye main na huenda ndio maana iliungua. Nilipeleka kwa fundi akabaini transistor moja AMS 1085CT 0249 iliyoko kwenye power supply na IC moja ilipasuka yakabaki baadhi ya maandishi ambayo ni CD405...Tatizo ni kutopatikana kwa Transistor AMS 1085CT 0249 hapa Mz pamoja na IC kutojulikana baadhi ya no.za IC. Msaada plz maana fundi kasema mpaka vipatikane hvyo ui2.

Mkuu angalia kwenye mtandao equivalent ya transistor iliyo kuwa punctured, pia na ICs husika alafu jaribu ku-shop around. Hiyo ikishindikana basi angalia VA za power supply imeandikwa rating ya kiasi gani ( power supplies nyingi siku hizi niza SMPS-switched mode Power Supply) ukisha note down ratings zake - sasa angalia voltages zinazoingia kwenye mother board kwa ajili ya ku-bias semiconductors, ukisha note down specifications zake basi nenda pale Msimbasi wanako huza vifaa vya electronic (kama unaishi DAR)-wape specs za power supply utapatiwa equivalent yake. Baada ya kuinunua mtafute fundi yeyote mwelidi akufungie-bila shaka kutakuwepo ulazima wa kumodify kidogo hili ikae sawa sawa; kama ita-fit bila mikwala - well and good. Goodluck
 
Mkuu napatikana Mwanza mjini hapa na power supply nyingine huenda ikawa ngumu kuipata maana ni model ya kizamani sana. Hata hvyo ic iliyoungua haiko kwenye sakiti ya power supply ila ipo kwenye sakiti ya sound amp ndani ya redio ile ile. Nafanya utaratibu niipige picha niwarushie wakuu.

Mkuu mbona unatuchanganya, sasa kumbe kilicho haribika ni power amplifier na siyo power supply! - ungesema labda external speaker zina an independent inbuilt power amplifier ambayo ina an independent power supply ningekuelewa.
 
Wakuu samahani taratibu tutaelewana,hii system in built in amp kwa mujibu wa maelezo ya fundi ambaya IC yake yenye miguu 16(8 kila upande) ndiyo iliyopasuka. Inaonesha hana maujanja ya kupima VCC au VDD ama ground kitu ambacho kinaleta ugumu kidogo ila lisiwape shida wakuu nahamia kwa mwenye maujanja zaidi.
 
Wakuu samahani taratibu tutaelewana,hii system in built in amp kwa mujibu wa maelezo ya fundi ambaya IC yake yenye miguu 16(8 kila upande) ndiyo iliyopasuka. Inaonesha hana maujanja ya kupima VCC au VDD ama ground kitu ambacho kinaleta ugumu kidogo ila lisiwape shida wakuu nahamia kwa mwenye maujanja zaidi.
 
Wakuu samahani taratibu tutaelewana,hii system in built in amp kwa mujibu wa maelezo ya fundi ambaya IC yake yenye miguu 16(8 kila upande) ndiyo iliyopasuka. Inaonesha hana maujanja ya kupima VCC au VDD ama ground kitu ambacho kinaleta ugumu kidogo ila lisiwape shida wakuu nahamia kwa mwenye maujanja zaidi.

Sasa kama hana circuit diagram atajuaje Vcc au VDD za ku-energize microchip ziko kwenye miguu hipi? Walao angekuwa na kitabu cha semiconductors zote ingekuwa afadhali. Kitu kingine kama IC imepasuka kuna haja gani tena kuangaika na mambo ya kupima VCC/VDD!
 
Mkuu
Kwa kuwa uko Mwanza, nenda duka la spea za radio ueleze shida yako, wao wanawafahamu mafundi wengi wa electronics wanaoweza kukusaidia kuijua namba ya hiyo IC.

alpha1
 
uskute we ndo huyo fundi...itabidi ikipona huo mkwanja upunguzie wadau kwa njia ya M-Pesa
 
Ndiyo mi ni fundi wa vifaa vya electronic lakini upeo wangu kuhusu hilo suala ni mdogo
, ila kuna mafundi wanaoweza kufanya kitu inaitwa "Reverse engineering" ya hicho kifaa chako na kufyonza schematic yake pia kutambua part No ya hiyo IC kwa kuangalia miguu yake na jinsi ilivyotumika(mguu upi umeungwa na kifaa kipi). Kwa sasa niko nje ya Mwanza, ila nina imani akifika nilipomwelekeza, ataweza pata msaada, labda tatizo liwe jinsi ya kupata hiyo IC baada ya kujua namba yake. Kuhusu suala la namba ya simu,fundi atakayepatikana atatoa mwenyewe namba yake.

alpha1
 
Back
Top Bottom