System ya TCU mbona haieleweki..msaada wakuu..

kdany

Senior Member
Jul 20, 2012
149
25
News

ANNOUNCEMENT TO PROSPECTIVE APPLICANTS WHO WERE NOT SELECTED IN ALL OF THEIR PREFERENCES AND ALLOCATED TO OTHER PROGRAMS


TCU informs applicants whose names have been published on TCU website that, they were not selected in all of their choices due to various reasons. TCU considered their qualifications and allocate them accordingly in other programs they qualify other than their preferences.

TCU is hereby inform these applicants that if they are not satisfied with programs they were allocated they are allowed to select other programs of their choice by logging into their profile and enter only one program from a list of slots available on TCU website.
Please click here to view the list ...

deadline jumatatu lakini mpaka sasa system ina goma na weekend ndo hii tunaomba msaada kwa ambao mmesha apply.shukrani

 
Kutokana na Tangazo hilo hapo mimi pia ni muhanga, nimechaguliwa coszi ambayo iko ifm, siitaki na nataka kwenda duce, nimejaribu kuomba upya kozi ninayo itaka na yenye nafasi, lakini system inakataa inasema nimesha chaguliwa, msaada jamani nifanyeje, niko mbeya!
 
Kutokana na Tangazo hilo hapo mimi pia ni muhanga, nimechaguliwa coszi ambayo iko ifm, siitaki na nataka kwenda duce, nimejaribu kuomba upya kozi ninayo itaka na yenye nafasi, lakini system inakataa inasema nimesha chaguliwa, msaada jamani nifanyeje, niko mbeya!

Angalia jina lako kwenye hiyo list kama lipo na imekataa kubadili course basi inabidi uwasiliane nao na kama jina lako halipo basi imekula kwako...
 
Hivi watanzania ni kitu gani tunaweza? Unampangiaje mtu chuo/kozi ambayo hajaomba au mbaya zaidi haiendani na masomo yake?
 
Wakuu wenye msaada kuhusu hili tusaidiane,najua had TCU mko humu.
 
Mimi nadhani wakati mwingine tuwe waungwana, sasa kama mtu umeomba course halafu ktk hizo courses ulizoomba huja meet vigezo, na TCU kwa kuona wasikuache wakaona kuna maeneo mengine ambayo unaweza kwenda kulingana na sifa zako, sasa hapa kosa liko wapi, kama unaona ulichokichagua sicho ulichopewa fahamu hujafikia vigezo.

Na pia badala ya kuwa tunalalamika tu humu JF tuwe na tabia ya kuwaona wahusika, kama uko na nafasi nenda ktk ofc zao ukatoe malalamiko yako au upewe msaada nn cha kufanya sasa unalaumu Tcu wakati hata hujawaona na wakakushauri nn cha kufanya, lakini pia nadhani kuna watu huwa hatusomi vizuri maelezo ya awali kabla ya kuanza kuomba vyuo, hatuangalii vizuri guide book na kuona tunafiti wapi, tujaribu kupata taarifa toka kwa wahusika wenyewe.
 
mm nadhani wakati mwingine tuwe waungwana, sasa kama mtu umeomba course halafu ktk hizo courses ulizoomba huja meet vigezo, na TCU kwa kuona wasikuache wakaona kuna maeneo mengine ambayo unaweza kwenda kulingana na sifa zako, sasa hapa kosa liko wapi, kama unaona ulichokichagua sicho ulichopewa fahamu hujafikia vigezo, na pia badala ya kuwa tunalalamika tu humu JF tuwe na tabia ya kuwaona wahusika, kama uko na nafasi nenda ktk ofc zao ukatoe malalamiko yako au upewe msaada nn cha kufanya sasa unalaumu Tcu wakati hata hujawaona na wakakushauri nn cha kufanya, lakini pia nadhani kuna watu huwa hatusomi vizuri maelezo ya awali kabla ya kuanza kuomba vyuo, hatuangalii vizuri guide book na kuona tunafiti wapi, tujaribu kupata taarifa toka kwa wahusika wenyewe.

hayaja kukuta ww,yakikukuta cdhani kama utaongea hayo,sasa km ni hvyo,nn maana ya kutoa second round halafu nxt tme unawambia watu wngne tena watume kwa 2nd round tena.
 
huu ni ubabaishaji mkubwa, yaani wananifanya nikose usingizi. Mtu kasoma CBG, unampangia Bachelor of account, tena hajaomba hiyo. yaaaani xxxxxxxxxxxxxx kabisa
 
Nimejitaidi kufuatilia sana selection zilizotolewa na vyuo mbalimbali vya elimu ya juu hapa nchini,inaonesha kua nafasi nyingi kwa aslimia kubwa zimejazwa.

Cha kushangaza kuna watu walijaza kozi saba ktk vyuo mbalimbali lakin tcu wamediriki kuwachagulia kozi na chuo ambazo hawakujaza na tena wakatangaza kozi zilezile ktk vyuo usika kwamba kuna nafasi ziko wazi watu wanaweza kuomba katika second application na nafasi zimetajwa kubaki kwa kiwango kikubwa sana,nafasi zilizoachwa wazi addmision point wameziweka sawa na kozi ambazo wamewachagulia watu.hapa chini ni mifano ya vyeo na nafasi zilizo wazi

1.st.joseph (nafasi 410 kwa kozi 7) za agriculture na biashara
2.st.joseph (nafasi 978 kwa kozi 6) za engineering
3.st.joseph coll of information and techn nafasi 240 kwa kozi moja
4.dodoma (nafasi 1900) katika kozi zote
5.dit (nafasi 184) kwa kozi tano
6.udsm (nafasi 310) achilia matawi yake
7.kampala nafasi zaid ya 2000
8.saut nafasi zaidi ya 2000 na kuna vyuo vikuu vingine vingi

Cha kujiuliza sasa,kama mwanafunzi amechagua kozi ambayo yeye anaona kua anaweza kupata mkopo kulingana na priority iliyowekwa pamoja na mapenzi yake kwa somo usika ya nini anyimwe nafasi iyo? Na kuchaguliwa kozi nyingine ambayo haina ata mkopo.je kwa nini wasiseme iwapo mwanafunzi akichagua kozi nyingine ilialiochaguliwa itafutwa ata kama hatachaguliwa kwenye second application? Na kwa nini bodi na tcu wasitoe matokeo kwa mfumo wa mwaka jana ili wanafunzi wajue la kufanya kabla ya 27 oct ambayo ni mwisho wa second application?

Na je ile mfumo wa mwaka jana limepotelea wapi ndani ya mwaka mmoja tu? Je wale ambao majina zao zinaonekana kwenye profile zao kua addmited kwenye chuo fulani alafu majina yao ayapo kwenye chuo usika wafanye nini? CBG anachaguliwa accounting,pcb anachaguliwa bs in computer science kwa kweli tcu mnafanya elimu kua ngumu bila ya sababu muhimu na tangu lini mwanafunzi wa chuo kikuu anachaguliwa kozi ya kusoma ktk karne hii.

TCU na bodi ya mkopo ebu fungukeni muache kuchezea akili za watu,naomba michango yengu wadau wa elimu.
 
Nimejitaidi kufuatilia sana selection zilizotolewa na vyuo mbalimbali vya elimu ya juu hapa nchini,inaonesha kua nafasi nyingi kwa aslimia kubwa zimejazwa.
Cha kushangaza kuna watu walijaza kozi saba ktk vyuo mbalimbali lakin tcu wamediriki kuwachagulia kozi na chuo ambazo hawakujaza na tena wakatangaza kozi zilezile ktk vyuo usika kwamba kuna nafasi ziko wazi watu wanaweza kuomba katika second application na nafasi zimetajwa kubaki kwa kiwango kikubwa sana,nafasi zilizoachwa wazi addmision point wameziweka sawa na kozi ambazo wamewachagulia watu.hapa chini ni mifano ya vyeo na nafasi zilizo wazi
1.st.joseph (nafasi 410 kwa kozi 7) za agriculture na biashara
2.st.joseph (nafasi 978 kwa kozi 6) za engineering
3.st.joseph coll of information and techn nafasi 240 kwa kozi moja
4.dodoma (nafasi 1900) katika kozi zote
5.dit (nafasi 184) kwa kozi tano
6.udsm (nafasi 310) achilia matawi yake
7.kampala nafasi zaid ya 2000
8.saut nafasi zaidi ya 2000 na kuna vyuo vikuu vingine vingi
cha kujiuliza sasa,kama mwanafunzi amechagua kozi ambayo yeye anaona kua anaweza kupata mkopo kulingana na priority iliyowekwa pamoja na mapenzi yake kwa somo usika ya nini anyimwe nafasi iyo? Na kuchaguliwa kozi nyingine ambayo haina ata mkopo.je kwa nini wasiseme iwapo mwanafunzi akichagua kozi nyingine ilialiochaguliwa itafutwa ata kama hatachaguliwa kwenye second application? Na kwa nini bodi na tcu wasitoe matokeo kwa mfumo wa mwaka jana ili wanafunzi wajue la kufanya kabla ya 27 oct ambayo ni mwisho wa second application? Na je ile mfumo wa mwaka jana limepotelea wapi ndani ya mwaka mmoja tu? Je wale ambao majina zao zinaonekana kwenye profile zao kua addmited kwenye chuo fulani alafu majina yao ayapo kwenye chuo usika wafanye nini? Cgb anachaguliwa accounting,pcb anachaguliwa bs in computer science kwa kweli tcu mnafanya elimu kua ngumu bila ya sababu muhimu na tangu lini mwanafunzi wa chuo kikuu anachaguliwa kozi ya kusoma ktk karne hii.
Tcu na bodi ya mkopo ebu fungukeni muache kuchezea akili za watu,naomba michango yengu wadau wa elimu

Ni kweli mkuu,naona huu ni mpango maalumu wa HESLB na TCU ktkt kuhakikisha watu wanakosa mkopo.Hizi taasisi ni janga la Taifa kabisa.
 
Hamna m2 ambae anaweza kuomba koz ambayo hajakidh viwango wakati kwenye guided book kunajionyesha wewe

Hapo umenena mkuu,mwongozo wa TCU ulibainisha vigezo vya kuchaguliwa ktk kila kozi na sidhana kama mtu anaweza kuwa mbumbumbu wa kuchagua kozi ambayo hakidhi vigezo.Ni lazima TCU wakiri kuwa kuna mapungufu ktk huu mfumo na wakubali kusoma kutoka kwa wenzetu jinsi walivyofanikiwa kuuboresha huu mfumo,huu mfumo ni mzuri na kama utasimamiwa vzr utarahisisha mambo mengi sana.
 
Tatizo ni kwamba watu wengi wameapply course zenye loan priority na zile non priority zikakosa watu na wale waliochaguliwa vyuo ambavyo hawakuomba ni wale wenye div 3 za point za mwisho mwisho na inaonekana walishindwa ushindani wa course walizo chagua kwa hiyo wakaamua kuwafanyia allocation kwenye vyuo vingine ambavyo havina watu....
 
News

ANNOUNCEMENT TO PROSPECTIVE APPLICANTS WHO WERE NOT SELECTED IN ALL OF THEIR PREFERENCES AND ALLOCATED TO OTHER PROGRAMS


TCU informs applicants whose names have been published on TCU website that, they were not selected in all of their choices due to various reasons. TCU considered their qualifications and allocate them accordingly in other programs they qualify other than their preferences.

TCU is hereby inform these applicants that if they are not satisfied with programs they were allocated they are allowed to select other programs of their choice by logging into their profile and enter only one program from a list of slots available on TCU website.
Please click here to view the list ...
deadline jumatatu lakini mpaka sasa system ina goma na weekend ndo hii tunaomba msaada kwa ambao mmesha apply.shukrani

Mimi nina tatizo kama hilo ila cha ajabu zile option za ku-corfirm haziko actve sijui ndi nn hii jamani,ni kama hivi inavyoonekana hapa chini.
 
ni wababaishaji hawa jamaa! Mi coni 7bu ya wao kuweka eligibility status wakati hata zote ukiwa na vgezo hawakuchaguwi! Bora wangelsema tuwatumie majina yetu na result den watpange km walvotupeleka macourse 2so mpango nayo! Nin malengo ya kutupa nafas ya kuchagua wakt unchaguliwa! Dahx wamebowa zaid ya sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom