Kwa kweli mimi kuna kitu nimekitafakari sana lakini nikaona niwashirikishe na nyie. System ya maisha ya shule ni kama ifuatavyo,
1)Age of entry-5yrs
2)Nursery school - 2yrs
3)Primary school - 7yrs
4)Secondary school (O-level) - 4yrs
5)Secondary school (A-Level) - 2yrs
6)University (e.g MD) - 5yrs.
7)Unemployment - 2yrs
8)Employment - after 2yrs
Total years of schooling + age of entry + unemployment time = 27yrs
Then,unaajiliwa ukiwa na 27yrs
Unafanya kazi miaka 33(60yrs age) unastafu.
9) Mshahara 700,000Tsh/=
Mathematics behind.
700,000 x 12 x 33 = 277,200,000 Tsh
Mshahara wa Neymer ni 35,000,000 Tsh kwa siku.
277,200,000 / 35,000,000 = 8 days.
HITIMISHO
1) Yaani na msoto wote wa msuli wa udaktari, especially MUHAZ Mshahara wako wa maisha yako yote Mwezio asiye zalisha chochote kile anaupata kwa siku 8 tu?
2) Je, ni haki kweli kuendelea kuwaaminisha watoto wetu eti Elimu ni ufunguo wa maisha?
3) Sasa ni mda wa wafanyakazi wote hasa kwetu Afrika kuacha kazi na kufanya mambo mengine, au waanzishe maandamano kudai stahiki zao.
4)Hapa kwetu bongo, wakuu wa vyama vyote vya wafanyakazi wamehongwa na wanashindwa kutetea maslahi ya wafanyakazi kinyume cha sheria.
5)Wafanyakazi nao wa umma wasivyo na akili naona wameshikiwa akili wakisubiri matamko ya viongozi wao.
1)Age of entry-5yrs
2)Nursery school - 2yrs
3)Primary school - 7yrs
4)Secondary school (O-level) - 4yrs
5)Secondary school (A-Level) - 2yrs
6)University (e.g MD) - 5yrs.
7)Unemployment - 2yrs
8)Employment - after 2yrs
Total years of schooling + age of entry + unemployment time = 27yrs
Then,unaajiliwa ukiwa na 27yrs
Unafanya kazi miaka 33(60yrs age) unastafu.
9) Mshahara 700,000Tsh/=
Mathematics behind.
700,000 x 12 x 33 = 277,200,000 Tsh
Mshahara wa Neymer ni 35,000,000 Tsh kwa siku.
277,200,000 / 35,000,000 = 8 days.
HITIMISHO
1) Yaani na msoto wote wa msuli wa udaktari, especially MUHAZ Mshahara wako wa maisha yako yote Mwezio asiye zalisha chochote kile anaupata kwa siku 8 tu?
2) Je, ni haki kweli kuendelea kuwaaminisha watoto wetu eti Elimu ni ufunguo wa maisha?
3) Sasa ni mda wa wafanyakazi wote hasa kwetu Afrika kuacha kazi na kufanya mambo mengine, au waanzishe maandamano kudai stahiki zao.
4)Hapa kwetu bongo, wakuu wa vyama vyote vya wafanyakazi wamehongwa na wanashindwa kutetea maslahi ya wafanyakazi kinyume cha sheria.
5)Wafanyakazi nao wa umma wasivyo na akili naona wameshikiwa akili wakisubiri matamko ya viongozi wao.