C connections JF-Expert Member Joined Apr 27, 2013 Posts 2,840 Reaction score 3,909 Apr 22, 2025 #1 1. Wa-Syria wana maonyesho kila kukicha. Sijui wanazalisha hizo bidhaa saa ngapi wakati Syria kinawaka kila siku. 2. Wabongo tunasubiri Teuzi tu na Mechi za Simba na Yanga Amani Tele ila hatuzalishi hata pipi Attachments download (2).png 6.5 KB · Views: 15
1. Wa-Syria wana maonyesho kila kukicha. Sijui wanazalisha hizo bidhaa saa ngapi wakati Syria kinawaka kila siku. 2. Wabongo tunasubiri Teuzi tu na Mechi za Simba na Yanga Amani Tele ila hatuzalishi hata pipi
O Omukisa JF-Expert Member Joined Sep 10, 2024 Posts 1,502 Reaction score 2,894 Apr 22, 2025 #2 Zaidi ya miaka 60 ya uhuru. Tunatembeza bakuli. connections said: Amani Tele ila hatuzalishi hata pipi Click to expand...
Zaidi ya miaka 60 ya uhuru. Tunatembeza bakuli. connections said: Amani Tele ila hatuzalishi hata pipi Click to expand...
Amehlo JF-Expert Member Joined May 8, 2019 Posts 10,917 Reaction score 31,770 Apr 22, 2025 #3 connections said: 1. Wa-Syria wana maonyesho kila kukicha. Sijui wanazalisha hizo bidhaa saa ngapi wakati Syria kinawaka kila siku. 2. Wabongo tunasubiri Teuzi tu na Mechi za Simba na Yanga Amani Tele ila hatuzalishi hata pipi Click to expand... 😀😀😀😀
connections said: 1. Wa-Syria wana maonyesho kila kukicha. Sijui wanazalisha hizo bidhaa saa ngapi wakati Syria kinawaka kila siku. 2. Wabongo tunasubiri Teuzi tu na Mechi za Simba na Yanga Amani Tele ila hatuzalishi hata pipi Click to expand... 😀😀😀😀
C connections JF-Expert Member Joined Apr 27, 2013 Posts 2,840 Reaction score 3,909 Apr 22, 2025 Thread starter #4 Omukisa said: Zaidi ya miaka 60 ya uhuru. Tunatembeza bakuli. Click to expand... Inasikitisha Sana
Valencia_UPV JF-Expert Member Joined Mar 31, 2016 Posts 7,682 Reaction score 9,557 Apr 22, 2025 #5 Amani debe
kyagata JF-Expert Member Joined Oct 18, 2016 Posts 13,960 Reaction score 26,135 Apr 23, 2025 #6 Sisi tunazalisha majungu tu.
Valencia_UPV JF-Expert Member Joined Mar 31, 2016 Posts 7,682 Reaction score 9,557 Apr 23, 2025 #7 kyagata said: Sisi tunazalisha majungu tu. Click to expand... Na ubishani wa Simba na Yanga
M Makwizi Band JF-Expert Member Joined Aug 19, 2024 Posts 2,691 Reaction score 4,056 Apr 23, 2025 #8 kyagata said: Sisi tunazalisha majungu tu. Click to expand... Na machawa bwana, yaani kila mwaka chawa wapya wanakuja kitaa and majority ni degree holders
kyagata said: Sisi tunazalisha majungu tu. Click to expand... Na machawa bwana, yaani kila mwaka chawa wapya wanakuja kitaa and majority ni degree holders
A Animal Farm JF-Expert Member Joined Nov 16, 2024 Posts 975 Reaction score 1,145 Apr 23, 2025 #9 connections said: 1. Wa-Syria wana maonyesho kila kukicha. Sijui wanazalisha hizo bidhaa saa ngapi wakati Syria kinawaka kila siku. 2. Wabongo tunasubiri Teuzi tu na Mechi za Simba na Yanga Amani Tele ila hatuzalishi hata pipi Click to expand... Sisi tunazalisha machawa, mafisadi, majizi nk wa kutosha kwenye kiwanda cha fisiemu!
connections said: 1. Wa-Syria wana maonyesho kila kukicha. Sijui wanazalisha hizo bidhaa saa ngapi wakati Syria kinawaka kila siku. 2. Wabongo tunasubiri Teuzi tu na Mechi za Simba na Yanga Amani Tele ila hatuzalishi hata pipi Click to expand... Sisi tunazalisha machawa, mafisadi, majizi nk wa kutosha kwenye kiwanda cha fisiemu!
Valencia_UPV JF-Expert Member Joined Mar 31, 2016 Posts 7,682 Reaction score 9,557 Apr 23, 2025 #10 Mwijaku type
O Omukisa JF-Expert Member Joined Sep 10, 2024 Posts 1,502 Reaction score 2,894 Apr 23, 2025 #11 connections said: Inasikitisha Sana Click to expand... Sana