Duduwasha
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 5,703
- 3,653
Jeshi la anga la Syria limedai kuzuoa makombora yote yanayohisiwa kurushwa na ndege za Israel hapo Jana usiku.. Chombo cha habari cha syria Sana kiliripoti. Mashuhuda walisema wameona miale ya moto angani ikielekea mji Wa kiswah mingine ikiripuka angani... Israel haikuweza kutoa comments yoyote ile zaidi ya kusema habari ni ya kibogus... Inahisiwa ndege za Israel ziliingia anga ya Syria kisha zikafanya yake na kurejea zako tel Aviv licha ya urusi kufunga mitambo ya kisasa ya kutungua ndege S 300 na magari ya kuzuia rada kufanya kazi japo inahisiwa kutokuanza kazi. Mji Wa kiswah kuna makambi ya wairan...