'Syria used chemical weapons on its citizens' ....report claims.

'Syria used chemical weapons on its citizens' ....report claims.

Military-political propaganda, yaleyale ya Saddam Hussein kumiliki WMD ili kuhalalisha uvamizi.

I never trust the west when talking about their opponents, not only about Syria or China or Zimbabwe or Russia, I mean any threat against western interests.

Too greed, ati they once included Madiba's name in the terrorists' list. Negative for this clue from the US intelligence source!!!

Perfect and simple, umenena sawasawa.

Tatizo ni kwamba kwa bahati mbaya mabuchwaka wamejaa mpaka jamiiforums, tati atakaye analyse na kukumbuka wakati memory disc zao ziko kaput.

Matayarisho ya uvamizi wa Syria yanakamilika, kwa uongo na mazugozugo yale yaleeee na still mabuchwaka hayaataamka.

1. Fear na terror levels tayari zimeshapandishwa - Boston na Ricin kutumiwa raisi. Hivi sasa waMarekani wameshatekenyeka na wazimu umeshawapanda.

2. North Korea kasimama ngangari na bomu analo

3. Accusation hii dhidi ya Syria haitosimama hadi uvamizi. Double whammy dhidi yake inakamilika.

- Kwanza kuzushiwa.
- Pili kulazimisha kwamba ni lazima aruhusu wachunguzi wa "uzushi huu" na hali ya kuwa inajulikana wazi kwamba atakataa (kwa sababu ni ukweli usiopingika kwamba wanataka kupeleleka ma-spy).
- Tatu tutalazimishwa sooooooote kwamba "unamuona huyo, anakataa uchunguzi, hivyo ni kweli anazo na katumia silaha za kemikali.
- Nne atapewa ultimatum ya kwamba lazima akubali ma-spy ("wachunguzi wa madai"). First whammy, akikubali kavamiwa
- Tano Bashar Assad atakataa!!!, hivyo namba tatu hapo juu ndio itapigiwa tarumbeta zaidi. Second whammy, hivyo the so called "international community" au "Coalition of the Willing" lazima wa-act kuuokoa ulimwengu. Syria inavamiwa.
- New Middle East is taking it's shape.
 
Yale yale ya Iraq kumuondoa Saddam, mpaka kesho hakuna silaha za maangamizi zilizoonekana.

Nauliza kwa nini tangu awali wasimsaidie Assad kuzuia machafuko kama wanataka amani?
Pili kuna nini pale Syria watakachofaidika nacho maana Iraq na Libya kulikuwa na mafuta. Au wanataka kuuza silaha? Kwani inaonesha kwamba nchi za magharibi wanapenyeza silaha ndogondogo katika nchi mbalimbali ili kuanzisha vita halafu wao waingie na biashara ya jumla. Ndio maana wamepinga kufunga viwanda vya mabomu ya kutega ardhini maana wanapata kodi na serikali zao zinajua hivyo na zinakusanya kodi bila kujua silaha hizo zinauzwa wapi. Silaha zote zinajulikana zinakotoka, amani duniani haitakuwepo kamwe kwani uchumi wa nchi hizi unategemea pia uuzaji wa silaha. Na sasa lazima vita vitazuka kati ya Korea Kusini na Korea Kaskazini, maana Korea Kusini wana uchumi mzuri na wanaweza kununua silaha zaidi toka magharibi. Chezea Marekani weye...!!
 
Yale yale ya Iraq kumuondoa Saddam, mpaka kesho hakuna silaha za maangamizi zilizoonekana.

Nauliza kwa nini tangu awali wasimsaidie Assad kuzuia machafuko kama wanataka amani?
Pili kuna nini pale Syria watakachofaidika nacho maana Iraq na Libya kulikuwa na mafuta. Au wanataka kuuza silaha? Kwani inaonesha kwamba nchi za magharibi wanapenyeza silaha ndogondogo katika nchi mbalimbali ili kuanzisha vita halafu wao waingie na biashara ya jumla. Ndio maana wamepinga kufunga viwanda vya mabomu ya kutega ardhini maana wanapata kodi na serikali zao zinajua hivyo na zinakusanya kodi bila kujua silaha hizo zinauzwa wapi. Silaha zote zinajulikana zinakotoka, amani duniani haitakuwepo kamwe kwani uchumi wa nchi hizi unategemea pia uuzaji wa silaha. Na sasa lazima vita vitazuka kati ya Korea Kusini na Korea Kaskazini, maana Korea Kusini wana uchumi mzuri na wanaweza kununua silaha zaidi toka magharibi. Chezea Marekani weye...!!

Hii ni stepping stone katika kule kui-map (kuigawa)upya na kuitawala upya new Middle East, na kwahiyo lengo lake hasa sio rahisi kuliona ovyo ovyo kwa yanayotokea Syria peke yake, ni lazima uone the big picture, http://au.search.yahoo.com/search?fr=yfp-t-501-s&p=new middle east map&ei=UTF-8

Ma-puppets wao wa karne ya 20 wameshakuwa used by date, na new middle east inakusududiwa kuwekewa mapuppets wapya katika at least karne hii ya 21.

Kama utaona vizuri kwenye map yao mpya wameigawa Saudi Arabia na kuiweka "Islamic Sacred State" ambayo ndani yake ina Makka na Madina. Unajuwa kwanini wamejidai hivi???? Eti ni kwamba wanawapenda saaaaaaana Waislamu, uongo na unafiki!!! Yaani wanjaribu ku-patronise Muslims kwamba wanawaundia sacred place yao kama Vatican vile na kwahiyo hawana haja ya kuwaona kwamba wao ni maadui. Na vile vile wapate kuja kulia "victims" pale waislamu watakapowatangazia jihadi.

Kwa ufupi ni kwamba wao wanahangaika kupanga na Mola Mtukufu ana mipango yake, na wameachiwa wahka na ufinyu wa kufikiri kwamba Mola Mtukufu ndiye m-bora wa mipango. Wao watafeli, na Mola Mtukufu katu hafeli.
 
Obama hakuna aja yoyote ya investigation..kila siku assad must go ni mwaka wa pili na kitu sasa,kinachonishangaza kwa Gaddafi mliungana na kwa mda mfupi mkamtoa,syria mpaka leo hakijaeleweka..assad akitoka lebanon itakuwa nzuri sana na kwa Iran itakuwa pigo
 
In both practical and moral terms, no one’s interests will be served by a chaotic collapse of the Syrian state, the empowerment of violent extremist groups with ties to Al Qaeda and the sectarian reprisals that could follow Mr. Assad’s fall. America must therefore prepare to make new investments and commitments to avoid an even deeper catastrophe.
 
As expected, the chicken are coming home to roost....
 
not true that Bashar can use poisons weapons to explored his citizen this is another US's hypocracy on IRAN's politics always they based on FALSE STATEMENTS instead of capturing REBELS they still suported them this is what we always expected on USA when it come on ISSUE OF MEDIATIONS they always based on one side which is the side which opposed RULING GOVERNMENT take LIBYA AS THE CASE STUDY. Bashar dont worry about those rats their life is too short.
 
Back
Top Bottom