SYRIA: Ndege za Kivita za Israeli zashambulia ghala kwenye Uwanja wa ndege wa Damascus

Ha ha ha,nimeweka arguments tena kijujuu tu namna vile israel hataweza kuifikia iran,apart from using airforce,ambayo pia ni hopelless kwani israel hana bomber,ana hizi ndege zinaweza beba makombora ya kawaida kiasi cha manne ama sita,na hiyo ni uselles kwani vituo vya nuclear vya iran viko deep underground,hayo makombora yatapalaza tu kwa juu,inahitajika direct and repeatedly hit at the same target using nuclear bomb,sio hayo makombora ya kawaida kuweza kuharibu hizo site,bila msaada wa marekani ni impossible,
naomba tu mtu anieleze jeshi na vifaru vya israel vitaifikia vipi iran,ntatoa milioni kwa maelezo ya kuridhisha
jeshi la miguu la israel litateka eneo lolote la nchi inayochangia mpaka na iran then watashusha vifaru kwa ndege (ya baba yake us)

nipe hiyo milioni chap kdg nitumie by halopesa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kadri siku zinavyozidi kwenda uwezo wa Siria kujilinda unaongezeka, huko kunakoendelea kutakuwa na mazingira magumu sana kwa Israel
Bora wajiimarishe Tu Israel ana chuki kubwa Sana na middle East ila badae future ya Israel Duniani itakua na kiza mbele,maan uimara wake unategemea udhaifu wa nchi za kiarabu middle East,sasa je nchi hizo zitabaki dhaifu miaka yote ukizingatia mashirika wake marekani nae anazidi kukosa mvuto Duniani na wenye marekani Yao wamagundua kuwa na wao ni Kama mashariki ya Kati wanavyochezewa shere na Israel,hakuna lolote zaidi ya ukoloni na wala sio urafiki wa dhati

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi huu uwanja wa ndege in mkubwa kiasi gani?maana kila shabulizi la Israel utasikia wameushambilia uwanja wa ndege Damuscas lakini sijawai kusikia umefungwa au umeharibiwa.sasa ninashidwa kuelewa hayo makombora ya Israel huwa yanapiga wapi?nimeanza kutilia shaka hizi habari za Israel kuishambulia siria.
Uwanja sio wa mpira Tu,kuna uwanja wa vita na viwanja vingine pia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
In a long run syria ana exprience kitu kipya kila baada ya shambulizi la israel,mwanzo walikuwa hawawezi hata kudungua makombora,leo syria wanadungua makombora kama kawaida na hapo bado mrusi anasita kumwachia syria S-300 kwani anajua syria hawatasita kuzilipua ndege za israel hata zikiwa juu ya anga la lebanon,

anachofanya mrusi anajaribu kufanya delicate balancing ili syria aridhike na pia Netanyau ajisikie vizuri kwamba anaweza kupiga syria mda wowote,lakini ni wazi kuwa israel kapewa redline za wapi apige na wapi asipige,
hapa unakuta kuna mtu anachezewa shere
 
Inaoneka wewe ni mgeni wa siasa za mashariki ya kati eti unasema Israel haina shida na siria.mataifa hayo in maadui wakubwa kwa miaka mingi na yamesha pigana vita kama Mara tatu katika historian yao.
Ulishasikia Israel akisema anasumbuliwa na Syria? even hawaelewani but Israel ana mkataba na Syria wa Amani bila kuchokozana... so wewe kwako hauibubali kama Israel hana Shida na Syria!!! but Time ikifika Ramani ya Israel ni kubwa Sana kimkakati Inachukua maeneo mengi ikiwemo ya kule Iraq Syria,Lebanon, Sinai, Saudia Arabia yote kiramani za kale ni Maeneo ya Israel. The Great Israel Country.
1547463409475.png
1547463589851.png
 
Ulishasikia Israel akisema anasumbuliwa na Syria? even hawaelewani but Israel ana mkataba na Syria wa Amani bila kuchokozana... so wewe kwako hauibubali kama Israel hana Shida na Syria!!! but Time ikifika Ramani ya Israel ni kubwa Sana kimkakati Inachukua maeneo mengi ikiwemo ya kule Iraq Syria,Lebanon, Sinai, Saudia Arabia yote kiramani za kale ni Maeneo ya Israel. The Great Israel Country.
View attachment 993976View attachment 993985
Ndiyo maana nimekwambia we we ni mgeni kwenye siasa za mashariki ya kati siria haijawahi kuingia mkataba wa amani na Israel hata siku moja mataifa yaliyo saini mkataba wa amani na Israel nivMisiri na Jordan pekee.mambo kama hujui bora kuuliza .
 
Bora wajiimarishe Tu Israel ana chuki kubwa Sana na middle East ila badae future ya Israel Duniani itakua na kiza mbele,maan uimara wake unategemea udhaifu wa nchi za kiarabu middle East,sasa je nchi hizo zitabaki dhaifu miaka yote ukizingatia mashirika wake marekani nae anazidi kukosa mvuto Duniani na wenye marekani Yao wamagundua kuwa na wao ni Kama mashariki ya Kati wanavyochezewa shere na Israel,hakuna lolote zaidi ya ukoloni na wala sio urafiki wa dhati

Sent using Jamii Forums mobile app
Umeongea jambo LA maana sana licha ya kwamba kuna watu watakuja kukupinga.
 
Ulishasikia Israel akisema anasumbuliwa na Syria? even hawaelewani but Israel ana mkataba na Syria wa Amani bila kuchokozana... so wewe kwako hauibubali kama Israel hana Shida na Syria!!! but Time ikifika Ramani ya Israel ni kubwa Sana kimkakati Inachukua maeneo mengi ikiwemo ya kule Iraq Syria,Lebanon, Sinai, Saudia Arabia yote kiramani za kale ni Maeneo ya Israel. The Great Israel Country.
View attachment 993976View attachment 993985
Hahaha!!
Dah hii Ramani ya promised Land mbona Iran haijalengwa ??
Au ndo uwoga wa yahudi uchwara wa kizungu
 
Naposema israel hufizia usiku wa manane kushambulia magodown ili kuepuka kuua personal ili wasije amua kulipa kisasi na hali halisi ilivyo,
pia wanaepuka sana kuzilipua ndege za iran zinazoleta mzigo,
mfano leo tu usiku mida ya saa 4 kuna ndege imetua damusca airport toka iran,baadae tena saa sita usiku huu kuna ndege tena ya mizigo ilikuwa ina approach toka iran kutua hapo Damusca,kumbuka huu uwanja ndo ulishambuliwa hiyo juzi tarehe 11 january,mida kama hiyo hiyo,
nakumbumbuka tena mwezi uliopita,israel walikuwa wanashambulia huku ndege zinatua na kupaa,
ni kwamba hawalengi target husika wanapiga yaleyale magodown,lakini ndege hawazilengi kuepusha kukuza mambo,na hata hivyo lengo la israel ni showoff kuonyesha S-300 ni bosheni,sasa warusi walistukia zamani kiasi kuwa kila israel akishambulia wao hawa activate S-300 badala yake wanatumia short range air defense,israel anatamani mno syria aactivate hiyo system ili waisome namna inafanya kazi na jinsi ya kui defeat.
Mpaka sasa mjua ndege za israel haziingii syria,zinaachia makombora toka lebanon,
lakini kitu kingine putin atakuwa kamweka sawa assad,kwan S-300 inaweza kudungua ndege zikiwa hata juu ya anga la lebanon,as long as mashambulizi yale sio effective wameona S-300 ibaki unknown capability kwa israel wakati wao wakistudy mashambulizi ya stand off missile za israel
Hizi nondo nazielewa sana.
Zinajibu maswali mengi sana.
 
Hebu turudi kwenye shambulio la juzi,kuna picha ya google map ikionyesha ghala la makombora lililoshambuliwa,hilo ghala liko maeneo ya damusca airport,jiran na hapo kuna nyumba ya duka la duty free na majengo mengine,ambayo hayakuharibika hata,

ok,now kila mtu anajua jinsi hali ilivyokuwa magodown ya silaha kule mbagala yaliporipuka,

sasa hapa eti unaambiwa,Godown liko full packed na makombora hatari limepigwa na israel,common sense inakuambia lazima pangekuwepo na secondary explosion juu ya yale makombora ndani ya ghala,na mlipuko wake ungewipe out the entire airport,
kwanini majengo yanayokuwa mita chache yanakuwa undamaged?,what about planes sitting there at the airport?

So ninaposema waisrael wanahit empty godown,that is just what i meant,
ndo maana assad yuko busy na wakurdi huko,hana mda na maigizo ya Netanyau ya kutafutia kura
Hizi fact mbona sioni mtu wa kuzi challenge humu au ndo ushabiki maandazi tu??
 
In a long run syria ana exprience kitu kipya kila baada ya shambulizi la israel,mwanzo walikuwa hawawezi hata kudungua makombora,leo syria wanadungua makombora kama kawaida na hapo bado mrusi anasita kumwachia syria S-300 kwani anajua syria hawatasita kuzilipua ndege za israel hata zikiwa juu ya anga la lebanon,

anachofanya mrusi anajaribu kufanya delicate balancing ili syria aridhike na pia Netanyau ajisikie vizuri kwamba anaweza kupiga syria mda wowote,lakini ni wazi kuwa israel kapewa redline za wapi apige na wapi asipige,
hapa unakuta kuna mtu anachezewa shere
Hiyo ni kweli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ulishasikia Israel akisema anasumbuliwa na Syria? even hawaelewani but Israel ana mkataba na Syria wa Amani bila kuchokozana... so wewe kwako hauibubali kama Israel hana Shida na Syria!!! but Time ikifika Ramani ya Israel ni kubwa Sana kimkakati Inachukua maeneo mengi ikiwemo ya kule Iraq Syria,Lebanon, Sinai, Saudia Arabia yote kiramani za kale ni Maeneo ya Israel. The Great Israel Country.
View attachment 993976View attachment 993985
Naona unaota tena kama kawaida yako wewe muongo wa karne ulishawahi kuja Na uzi ukidai iran na israel ni fake enemy sasa hivi unatujambisha viporo hapa hebu acha kutuzuga hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jeshi gani .la miguu wanalo?lile ambalo hata kuingia gaza hawathubutu seuze iran?hebu tutolee utumbo hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
kwanza kabisa shadow kamanda uache kukurupuka nilipost hivyo kujaribu bahati yangu ya one milion

kwaiyo idf hawana kamandi ya aridhi?

gaza huwa wanaingia kila wakitaka wanakula kichwa then wanasepa

hakuna mtu asiyejua kuwa iran yupo vzr kiasi chake japo israel kashinda mapambano mengi kuliko iran

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom