Troll JF
JF-Expert Member
- Feb 6, 2015
- 7,804
- 12,237
Wakuu nilikua nimepigwa ban hasa na watu wasionitakia Mema. (Mwanachama wa Chama Cha Mapinduzi).
Binafsi nimehudhunishwa na kitendo cha huyu binti kutuacha Chama Cha Mapinduzi (CCM) and the beauty Queen deserved some respect.
Wema Sepetu Mchango wake ulikua mkubwa sana kwenye kampeni za mwaka 2015. Wema Sepetu ndiye alikua anazunguka na Makamo wa Rais Bibi Samia Suluhu baada ya wanawake wengi kwenye chama kugawanyika baada ya kuamini kuwa huenda UKAWA wakachukua Nchi.
Ipo wazi wanajamii Forums kuna Viongozi wandamizi ndani ya chama kwa wakati kama Sophia Simba, Hawa Ghasia ni kama walikua wamemsusia yule mama zile kampeni amefanya kampeni zake kwa Upweke huku akiwa na Wema Sepetu hata Mimi nilikua nawasiwasi sana juu ya kumtumia Wema lakini alijitahidi Mwanzo hadi mwisho.
Hivyo CCM ilitakiwa kumjali Dada huyu hapa si maanishi kumpa Uongozi au Cheo la hasha hata kumlipa tuu pesa zake alizokua anadai Mimi binafsi nilishangaa kuwa alikua anakidai chama.
Wema ana mambo mengi lakini Yale ni personal life yake amekisaidia chama na pia mwanachama wa chadema naomba mumuoneshe ushirikiano nilishangaa wiki iliyopita kuna Mtu alileta thread kuwa Wema Sepetu hatajiunga CHADEMA mwanachama mmoja wa CHADEMA akacomment "Ana Msaada gani huyo break pumb.u?'" Nilihuzunishwa sana.
Mimi sitaondoka Chama Cha Mapinduzi ila namtakia kila laheri Wema Sepetu Chadema kama mkimpa Jimbo mwaka 2020 Na Umri wake utakua umesogea kidogo Nina uhakika anaweza kushinda Jimbo.
Namtakia mafanikio mema.
Binafsi nimehudhunishwa na kitendo cha huyu binti kutuacha Chama Cha Mapinduzi (CCM) and the beauty Queen deserved some respect.
Wema Sepetu Mchango wake ulikua mkubwa sana kwenye kampeni za mwaka 2015. Wema Sepetu ndiye alikua anazunguka na Makamo wa Rais Bibi Samia Suluhu baada ya wanawake wengi kwenye chama kugawanyika baada ya kuamini kuwa huenda UKAWA wakachukua Nchi.
Ipo wazi wanajamii Forums kuna Viongozi wandamizi ndani ya chama kwa wakati kama Sophia Simba, Hawa Ghasia ni kama walikua wamemsusia yule mama zile kampeni amefanya kampeni zake kwa Upweke huku akiwa na Wema Sepetu hata Mimi nilikua nawasiwasi sana juu ya kumtumia Wema lakini alijitahidi Mwanzo hadi mwisho.
Hivyo CCM ilitakiwa kumjali Dada huyu hapa si maanishi kumpa Uongozi au Cheo la hasha hata kumlipa tuu pesa zake alizokua anadai Mimi binafsi nilishangaa kuwa alikua anakidai chama.
Wema ana mambo mengi lakini Yale ni personal life yake amekisaidia chama na pia mwanachama wa chadema naomba mumuoneshe ushirikiano nilishangaa wiki iliyopita kuna Mtu alileta thread kuwa Wema Sepetu hatajiunga CHADEMA mwanachama mmoja wa CHADEMA akacomment "Ana Msaada gani huyo break pumb.u?'" Nilihuzunishwa sana.
Mimi sitaondoka Chama Cha Mapinduzi ila namtakia kila laheri Wema Sepetu Chadema kama mkimpa Jimbo mwaka 2020 Na Umri wake utakua umesogea kidogo Nina uhakika anaweza kushinda Jimbo.
Namtakia mafanikio mema.