Kwa yeyote mwenye mihutasari ya elimu ya Tanzania hususani kwa masomo ya phy na hesabu kwa o'level na a'level katika mfumo wa kidigitali naomba aipost humu ndani.
Sidhani kama kuna mtu binafsi au hata taasisi iliyoona umuhimu wa kuwa na nakala elektroniki za mitaala hiyo. Maana hata ukitemebelea tovuti za MoEVT na TIE hawana mitaala hiyo. Ushauri, tafuta kwenye maduka ya vitabu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.