Ubalozi wa Swedeni: Tanzania kufurika wawekezaji

Shigganza

Senior Member
May 24, 2018
160
412
Ubalozi wa Swedeni Tanzania kupitia kwa balozi wake ANDERS SJOBERG ameeleza kuwa Tanzania itafurika wawekezaji kutokana na uwepo wa mazingira mazuri ya kibiashara yaliyojengwa na serikali ya awamu ya tano iliyochini ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mhe John Pombe Magufuli hasa baada ya kudhibiti vitendo vya rushwa, ujenzi wa miundombinu na umeme wa kutosha(stigielers!gorge),

Wenye maono mambo haya tulishayaona siku nyingi,'unapoona Rais anafufua Shirika reli, ATCL kujenga miundombinu, bali na manufaa ya moja kwa moja ya kujipatia fesha kupitia nauli zinazotozw anakuwa anaboresha mazingira ya biashara.


IMG_1390.JPG
 
Natamani Raisi ayakatalie haya mabeberu wasije wekeza kwetu bwana...uwezo wa kujiendeleza na kuwekeza as Tanzanians mbona tunao tu mkubwa jaman??si ndo hawa majuzi wamesema mradi mkubwa wa Stigla goji haufai...unaathirΓ¬ mazingira jaman..leo mnaanza kusrma mtakuja kuwekeza kwa mafurikoπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚...
 
Hii ni habari Chungu sana kwa Wagagagigikoko. Isipofutwa au kuunganishwa na Nyuzi nyingine ndani ya masaa 24 itakuwa ni ajabu la 8 la Dunia.
 
Ubalozi wa Swedeni Tanzania kupitia kwa balozi wake ANDERS SJOBERG ameeleza kuwa Tanzania itafurika wawekezaji kutokana na uwepo wa mazingira mazuri ya kibiashara yaliyojengwa na serikali ya awamu ya tano iliyochini ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mhe John Pombe Magufuli hasa baada ya kudhibiti vitendo vya rushwa, ujenzi wa miundombinu na umeme wa kutosha(stigielers!gorge),

Wenye maono mambo haya tulishayaona siku nyingi,'unapoona Rais anafufua Shirika reli, ATCL kujenga miundombinu, bali na manufaa ya moja kwa moja ya kujipatia fesha kupitia nauli zinazotozw anakuwa anaboresha mazingira ya biashara.


View attachment 1019674
Hili Gazeti ni Tanzania Daima mkuu!?
 
hii habari sio nzuri kwa upande wa pili
Hii ni habari Chungu sana kwa Wagagagigikoko. Isipofutwa au kuunganishwa na Nyuzi nyingine ndani ya masaa 24 itakuwa ni ajabu la 8 la Dunia.
Nadhani kuna kuchanganya kati ya wafadhili na wawekezaji. Wawekezaji wanakuja kibiashara zaidi, nawanachotafuta ni faida kwao ikibidi kubwa iwezekanavyo. Tena wakipata fursa ya kuchuma mali watazichangamkia kweli kweli, hadi unaweza kutamani uwafukuze kama ilivyokuwa ACACIA
 
atawakabididhi mpaka ngedere!!

Sent using Jamii Forums mobile app

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚wawafanye wapendavyoπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Nadhani kuna kuchanganya kati ya wafadhili na wawekezaji. Wawekezaji wanakuja kibiashara zaidi, nawanachotafuta ni faida kwao ikibidi kubwa iwezekanavyo. Tena wakipata fursa ya kuchuma mali watazichangamkia kweli kweli, hadi unaweza kutamani uwafukuze kama ilivyokuwa ACACIA


mweleze huyo
 
Back
Top Bottom