britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,636
- 30,004
Tanzania uchaguzi wa jimbo au kata unaacha majonzi. Wenzenu Sweden hawana serikali tangu tarehe 9 Sept, na leo imeshindikana kupata serikali. Vyama vinabembelezana kuungana ili vifikie column inahitajika ili vishikie dola.
Vyama vikuu ni vitatu: 1. Social demokraterna (ndilo kilichukua dola 2014), 2. Moderaterna (kilishindwa 2014), 3. Sverige demokratena (kimepanda sana na kushangaza ulimwengu, ila hakuna chama kinataka kushirikiana nao). Hivyo ndio vyama vyenye nguvu, pia kuna vingine lakini vilipata chini ya 10%. Point ni kuwa vikubaliane na kugawana viti.....
Lakini Tanzania inatumia bilioni 15.8 kurudia chaguzi lakini inakopa bilioni 46 kujenga mradi wa maji. Tujiulize; sisi Tanzania hatutakaa tuifikie Sweden kwenye suala la maendeleo, na wana uchumi mzuri sana kuliko sisi Tanzania. Swali: Wao wanaona ni mzigo kwa walipa kodi kama uchaguzi utarudiwa. Je, sisi Tanzania tunafikiria kutojifunza toka kwa wenzetu?
Vyama vikuu ni vitatu: 1. Social demokraterna (ndilo kilichukua dola 2014), 2. Moderaterna (kilishindwa 2014), 3. Sverige demokratena (kimepanda sana na kushangaza ulimwengu, ila hakuna chama kinataka kushirikiana nao). Hivyo ndio vyama vyenye nguvu, pia kuna vingine lakini vilipata chini ya 10%. Point ni kuwa vikubaliane na kugawana viti.....
Lakini Tanzania inatumia bilioni 15.8 kurudia chaguzi lakini inakopa bilioni 46 kujenga mradi wa maji. Tujiulize; sisi Tanzania hatutakaa tuifikie Sweden kwenye suala la maendeleo, na wana uchumi mzuri sana kuliko sisi Tanzania. Swali: Wao wanaona ni mzigo kwa walipa kodi kama uchaguzi utarudiwa. Je, sisi Tanzania tunafikiria kutojifunza toka kwa wenzetu?