YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,908
- 51,904
Ya kale dhahabuYaani CCM mmejaa mawazo ya ukale sana!!
Ya kale dhahabuYaani CCM mmejaa mawazo ya ukale sana!!
Sisi sio waoTanzania uchaguzi wa jimbo au kata unaacha majonzi. Wenzenu Sweden hawana serikali tangu tarehe 9 Sept, na leo imeshindikana kupata serikali. Vyama vinabembelezana kuungana ili vifikie column inahitajika ili vishikie dola. Lakini Tanzania inatumia bilioni 15.8 kurudia chaguzi lakini inakopa bilioni 46 kujenga mradi wa maji. Tujiulize; sisi Tanzania hatutakaa tuifikie Sweden kwenye suala la maendeleo, na wana uchumi mzuri sana kuliko sisi Tanzania. Swali: Wao wanaona ni mzigo kwa walipa kodi kama uchaguzi utarudiwa. Je, sisi Tanzania tunafikiria kutojifunza toka kwa wenzetu?
Kila king'aacho si dhahabu, hata shaba nayo hughilibu!!Ya kale dhahabu
Kwenye kila kitu ama kwenye kuiga mazuri tu?Sisi sio wao
Sisi hatuigii tunajijua wenyeweKwenye kila kitu ama kwenye kuiga mazuri tu?
Ule wizi wetuWana lipi la kujifunza kwetu?
Wajifunze namna ya kuwa na tume ya uchaguzi inayoweza kukifanyama chama tawala kiendelee kutawala kwa msaada wa polisi! Sidhani kama kuna zaidi!Wana lipi la kujifunza kwetu?
Wanasiasa wote wa Tanzania ni wachumia tumbo tu. Hakuna hata mmoja mwenye dhamira ya dhati ya kuleta maendeleo. Labda mkinichagua mimi ndio mtapata maendeleo.Tanzania uchaguzi wa jimbo au kata unaacha majonzi. Wenzenu Sweden hawana serikali tangu tarehe 9 Sept, na leo imeshindikana kupata serikali. Vyama vinabembelezana kuungana ili vifikie column inahitajika ili vishikie dola. Lakini Tanzania inatumia bilioni 15.8 kurudia chaguzi lakini inakopa bilioni 46 kujenga mradi wa maji. Tujiulize; sisi Tanzania hatutakaa tuifikie Sweden kwenye suala la maendeleo, na wana uchumi mzuri sana kuliko sisi Tanzania. Swali: Wao wanaona ni mzigo kwa walipa kodi kama uchaguzi utarudiwa. Je, sisi Tanzania tunafikiria kutojifunza toka kwa wenzetu?
Wasweden ndio wanatakiwa kuja kujifunza kwetu sisi tulikataa vyama vingi kupunguza gharama za chaguzi Na figisufigisu kama hizo za vyama vingi wakatulazimisha lazima tuingie vyama vingi tukakubali shingo upande wakati asilimia 80 ya watanzania walikataa vyama vingi.Ona sasa wao wanaojitia vinara wa vyama vingi wamekwaa kisiki.Waje Tanzania watuombe CCM tuwafundishe namna ya kujikwamua kwenye huo mkwamo.
Nikuambie kitu ambacho mimi Na wa Sweden hatukipendi kwako Na ungekuwa karibu naapa ningekuchinja ondoa hiyo avatar yako ya HITLER ya swastikaKila king'aacho si dhahabu, hata shaba nayo hughilibu!!
Ni nguvu isiyo na mipika wala mipango endelevuHvi serikali ni nini?
Umeona mimi nina Avatar ya Swastika? Ndio tatizo lenu CCM kudandia mambo.Nikuambie kitu ambacho mimi Na wa Sweden hatukipendi kwako Na ungekuwa karibu naapa ningekuchinja ondoa hiyo avatar yako ya HITLER ya swastika